Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika

Hivi huyu aunt nae c ni mke wa mtu sasa inakuaje kukatakata viuno hovyo.

ndoa mchezo.....

kuolewa kwa fashion matokeo yake ndio hayo.ndoa ilishachachuka sa hivi kabakia kubanduliwa na dancers wa diamond.
 
Ama kweli kuoa wanawake wa bongo movie ni shida maana muda wote yuko location hawana uhalisia, baadhi lkn.
 
Clouds FM wako kimya kabisa, kama vile hakujatokea tukio lolote kuhusu 'wenzao'.
Wanajaribu kupotezea tukio hili lisahaulike.
 



Daaah jamaniiii.........hahaaaa we FYATU hapanaaa
 
Last edited by a moderator:

Hahahaaaaaaaaaaaa wewe sio mzima!!!!
 
Naskia sana neno "advocate" kuna nn kimejficha nyuma ya hili neno na hbr hii ya dada wa Mara?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 

Mkuu una kiswahili kizuri na tena fasaha, anayekuambia una kiswahili kibaya huyo muongo.Hongera.
 


MTU mwenye akili timamu na mwenye majukumu yakufanya hawezi wafollow hao mbwa unless awe ni jobless

naamini umejionea ni kwakiasi gani Tanzania IPO shida kuendelea kwa akili hizo duni....

Blessed...
 
Thanks Robert, wajua sakati mwingine unavyo andika sivyo unavyo fikiri. Wengi hawaelewi na wanakua na jazba tu. Anyway, I hope malengo yangu yalitimia. Have a good day Robert!
 
Mpwa ntakuheshimu ukinitambulisha mtu yeyote yule wa kawaida kwamba ndio umempenda kuliko aibu hii ya kujitakia ya Wema.

Yani story za kuongea kitandani na mpenzi wako unakuja kuandika Instagram? nimewadharau wote wawili ni takataka tu.

IG ndio imekua Press Conference
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…