Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume kupenda umbeya hivi lazima utakuwa unabanduliwa.
Hivi huyu aunt nae c ni mke wa mtu sasa inakuaje kukatakata viuno hovyo.
si bure, wewe sio riziki
Duh..sasa ikatokea Advocate akaMPREGNANT Jide hiyo product si itakuwa sio.
Alafu kweli Jide anaonekana mtata sana...hata majina anayojipachika, mara ajiite Joka (anaconda), mara Commando.......lazima yule braza wa watu alikuwa anagugumia maumivu ndani kwa ndani.
Sasa Jide asijipe stress, atafute kabongofleva chake....na madongo wapenda mteremko wapo wengi tu standby...
Ila kabla hajakaribishwa ndani apewe masharti ya mkataba akae akijua kabisa...akiona simu ya Advocate inaita, anakuletea simu....mummy daddy anapiga....sio aanze kushuta hovyo kama kale kajamaa cha Shilole, almanusra kupigwa jiwe.
Geniveros, that how much u reason. Haya ndio matatizo ya wabongo kama wewe. Ushabiki tuu without reasoning. My swahiri is not perfect sawa, lakini jitambue na tambua kwamba, hata babu yako kiswahili yawezekana hajui vile ila anakua na msimamo wa hoja. Unaanza kutoka povu kisa ndoa za watu. Sidhani kama umeshaoa wewe. Lamsingi, musipende kukuza mambo nakuwapa watu umarufu bila sababu. Ningefurahiswa zaidi ungetoa suruhu kwenye hii tetesi. Kama huna basi acha ushabiki. Harafu ndugu, punguza viroba, sio chai
Kumbe siku zote nilikuwa sahihi kutofollow hawa wabana pua kwenye mitandao, Wema angekuwa ni dada yangu option zingekuwa mbili tu atengwe na Familia au wavunje mahusiano na Diamond.
Hivi inaingia akilini unalala na Mwanamke kisha ushauri wa kumpa unaenda kuandika Instagram?
Kwakweli leo umenifumbuwa macho nilikuwa sijui mengi kuhusu hawa watoto, mana mimi siko active instagram ndio nimeingia huko leo sina hamu.
Hivi huyu aunt nae c ni mke wa mtu sasa inakuaje kukatakata viuno hovyo.
Mpwa ntakuheshimu ukinitambulisha mtu yeyote yule wa kawaida kwamba ndio umempenda kuliko aibu hii ya kujitakia ya Wema.
Yani story za kuongea kitandani na mpenzi wako unakuja kuandika Instagram? nimewadharau wote wawili ni takataka tu.