Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
geniveros Dinazarde Heaven on Earth TATIANA yani leo nimemkumbuka sana binamu warumi huko insta Team Wema wamemcharukia Dangote na kumsema ana mtumia wema vibaya kwa maslai yake binafsi... wema kawamind ila bado raia wanamsena afungue hata saloon kuliko kufanywa mcheza shoo wa Dangote.
Atleast leo Team wema wamemtolea uvivu madam wao... I wish binamu angeenda kutupa full story.
Yaan kageuzwa mcheza shoo halaf ana kiuno kigumu huyo yaan bora aajiriwe jamanii huyo domo anampotezaaa
Last edited by a moderator: