Kwenye ukurasa wa instagram wa mzazi mwenzie na Sugu anaefahamika kwa jina la Faiza ameandika kilio chake jinsi anavyoumia kuwa mbali na Sugu, uku akisema analia kwa sauti siku nzima.
Sugu umemfanyaje huyu sista duu ?
Haya ni maneno mazito ambayo mzazi mwenzake na Sugu, Faiza Ally amefunguka kwenye ukurasa wake wa Instagram
Hapa ni Mh. JOSEPH mbilinyi akiwa na mzazi mwenzake na mtoto wao Sasha
Sugu umemfanyaje huyu sista duu ?
Haya ni maneno mazito ambayo mzazi mwenzake na Sugu, Faiza Ally amefunguka kwenye ukurasa wake wa Instagram
Hapa ni Mh. JOSEPH mbilinyi akiwa na mzazi mwenzake na mtoto wao Sasha