Benzodiazepine
JF-Expert Member
- Oct 18, 2018
- 644
- 718
inaonesha witnessj na Dinazarde, kama mngekuwa na urafiki na Beyonce basi mngemshauri adai talaka.I wish siku moja uwaone sie cha mtoto
Beyonce ni mbongo yule [emoji23][emoji23][emoji23]
Haachiki
Aah yule dada ni mfia ndoa...haaachiki mtu
Mmmh twin humjui Bey kwenye suala zima la ndoa! Yule dada anapenda ndoa kupitiliza!
Tena sasa bora hata Kanye kawa na 'a mere mentally disorder" but sio malaya!
Hov hachagui K yule kichaa twende, malaya choka mbaya twende, washona vyerehani yumoo....yaan ni mchafuu, lile hogoo ndani ya zipu limeficha mengi
NB
Hayo nimemnukuu Solo sijawahi hata kumuona huyo jigga[emoji848]
👇🏾 cheki na hizi nimezikuta maktaba huko 😉
Wee anawarukaga mademu wote kasoro rihanna ndo anakiri!
Jay anampenda sana riri, ukitaka kuona furaha ya jay z awepo rihanna round full raha hata kama Bey yupo...
Beyonce anajua kufosi asee...namvulia kofia mpaka kupata ndoa kwa Hov!
R.Kelly, Diddy, Jay z, Nelly....hizi namba kupata ndoa kwao ni kama muujiza wa kugeuza kisogo kiwe uso!
Kudos kwa Bee...