Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

I wish siku moja uwaone sie cha mtoto
inaonesha witnessj na Dinazarde, kama mngekuwa na urafiki na Beyonce basi mngemshauri adai talaka.

Beyonce ni mbongo yule [emoji23][emoji23][emoji23]
Haachiki
Aah yule dada ni mfia ndoa...haaachiki mtu
Mmmh twin humjui Bey kwenye suala zima la ndoa! Yule dada anapenda ndoa kupitiliza!

Tena sasa bora hata Kanye kawa na 'a mere mentally disorder" but sio malaya!

Hov hachagui K yule kichaa twende, malaya choka mbaya twende, washona vyerehani yumoo....yaan ni mchafuu, lile hogoo ndani ya zipu limeficha mengi

NB

Hayo nimemnukuu Solo sijawahi hata kumuona huyo jigga[emoji848]

👇🏾 cheki na hizi nimezikuta maktaba huko 😉

Wee anawarukaga mademu wote kasoro rihanna ndo anakiri!

Jay anampenda sana riri, ukitaka kuona furaha ya jay z awepo rihanna round full raha hata kama Bey yupo...
Beyonce anajua kufosi asee...namvulia kofia mpaka kupata ndoa kwa Hov!

R.Kelly, Diddy, Jay z, Nelly....hizi namba kupata ndoa kwao ni kama muujiza wa kugeuza kisogo kiwe uso!

Kudos kwa Bee...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa, umezitoa wapi hizi[emoji23]
nimezitoa huko kwenye maktaba ya makumbusho ya witnessj , Nimezikuta zina vumbi lakini bado zinafaa kwa matumizi ya circle ya Rihanna, Beyonce na Jay Z.

Wewe tangu kitambo unamuona Jigga ni kama muhuni na unaona Beyonce ni kama vile mwanandoa ambaye anavumilia Uhuni wa mumewe ili tu ndoa iendelee kuwepo.

witnessj inaonekana unatamani siku ungekuwepo Polisi kwenye Dawati la Jinsia na Mahusiano halafu Beyonce alete malalamiko yake ya ndoa umsikilize.

Na ungekuwa ni hakimu mahakamani ndiyo kabisa Jay Z angekoma.
 
Na magonjwa ya moyo, sukari, gunia2 za mkaa vinaanziaga hukohuko
🤣 🤣 🤣 kabisa ndg. Kama mmechikana ni vema kuyamaliza kwa amani, kila mtu ashike njia yake. Isiwe kama stori ya yule mdada wa Kenya aliyemmwagia tindikali mumewe, walipopishana lugha. Inazunguka sana whatsapp hio story
 
nimezitoa huko kwenye maktaba ya makumbusho ya witnessj , Nimezikuta zina vumbi lakini bado zinafaa kwa matumizi ya circle ya Rihanna, Beyonce na Jay Z.

Wewe tangu kitambo unamuona Jigga ni kama muhuni na unaona Beyonce ni kama vile mwanandoa ambaye anavumilia Uhuni wa mumewe ili tu ndoa iendelee kuwepo.

Witnessj inaonekana unatamani siku ungekuwepo Polisi kwenye Dawati la Jinsia na Mahusiano halafu Beyonce alete malalamiko yake ya ndoa umsikilize.

Na ungekuwa hakimu mahakamani ndiyo kabisa Jay Z angekoma.
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji16]

Hizi ni storee tu mkuu daah[emoji28][emoji1787]
 
Hahahahahah anayetoa hio kauli hajui japo hata million 100 tu inafananaje ikiwa kwenye account maana haijawahi kuwepo! [emoji23][emoji23][emoji23]
wabongo wana dharau sana yani.
Yani nimecheka kwanguvu[emoji851][emoji851][emoji851]
 
Kwenye Pre-nup Agreement yenu jitahidi kuandika kuwa Kama ikitokea siku mnaachana kwa talaka, wewe ndiye utakayebaki na majaba yote, ila yeye utampa asilimia 20% ya maji yote yatakayokuwa katika hayo majaba mawili, Lakini majaba yote yatabaki kwako.


Pia hiko Kijiko cha Mchina, andika wewe utabaki na Jiko Lako ila yeye utampa utambi mmoja na asilimia 12% mafuta yatakayokuwemo kwenye jiko kama ikitokea siku mnaachana kwa kutalikiana (talaka).


Kisha analeta mwanasheria wake, nawe unaleta wako, halafu mnasaini. Pia msisahau kuweka ndugu kadhaa kama mashahidi.
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
View attachment 1671448

Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian yapumulia mashine na kutaka kutalakiana. Kwa mujibu wa media za Marekani kwa muda Sasa ndoa yao Haina afya nzuri na ilidhoofu kwa kiasi kikubwa mwaka 2020 ambapo mastaa hao wamekuwa wakiishi Kila mtu kwake huku Kim akiwa na watoto

Kwa mujibu wa taarifa Kim hasa ndie anataka waachane baada ya mambo kumshinda ila anataka waachane kwa amani sio migogoro kwani wameshajaribu kwenda mapumzikoni pamoja na hata kwenda kupata ushauri maalum kuipa afya ndoa yao lakini mambo ndio yameonekana kutibuka zaidi Kim tayari ameripotiwa kumchukua mwanamama Laura ambaye Ni mwanasheria maarufu wa migogoro ya mastaa ili aweze kumsaidia suala hilo kuimaliza ndoa kwa amani
Kwa hiyo tuwaombee dua au?
 
Ghafla ni kama nilikuwa nasoma watu wapo Beverly Hills aisee!
 
Back
Top Bottom