Ndoa ya Kanye West na Kim Kardashian inakimbilia kwenye talaka

I wish siku moja uwaone sie cha mtoto
inaonesha witnessj na Dinazarde, kama mngekuwa na urafiki na Beyonce basi mngemshauri adai talaka.

Beyonce ni mbongo yule [emoji23][emoji23][emoji23]
Haachiki
Aah yule dada ni mfia ndoa...haaachiki mtu

👇🏾 cheki na hizi nimezikuta maktaba huko 😉

Wee anawarukaga mademu wote kasoro rihanna ndo anakiri!

Jay anampenda sana riri, ukitaka kuona furaha ya jay z awepo rihanna round full raha hata kama Bey yupo...
Beyonce anajua kufosi asee...namvulia kofia mpaka kupata ndoa kwa Hov!

R.Kelly, Diddy, Jay z, Nelly....hizi namba kupata ndoa kwao ni kama muujiza wa kugeuza kisogo kiwe uso!

Kudos kwa Bee...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa, umezitoa wapi hizi[emoji23]
nimezitoa huko kwenye maktaba ya makumbusho ya witnessj , Nimezikuta zina vumbi lakini bado zinafaa kwa matumizi ya circle ya Rihanna, Beyonce na Jay Z.

Wewe tangu kitambo unamuona Jigga ni kama muhuni na unaona Beyonce ni kama vile mwanandoa ambaye anavumilia Uhuni wa mumewe ili tu ndoa iendelee kuwepo.

witnessj inaonekana unatamani siku ungekuwepo Polisi kwenye Dawati la Jinsia na Mahusiano halafu Beyonce alete malalamiko yake ya ndoa umsikilize.

Na ungekuwa ni hakimu mahakamani ndiyo kabisa Jay Z angekoma.
 
Na magonjwa ya moyo, sukari, gunia2 za mkaa vinaanziaga hukohuko
🤣 🤣 🤣 kabisa ndg. Kama mmechikana ni vema kuyamaliza kwa amani, kila mtu ashike njia yake. Isiwe kama stori ya yule mdada wa Kenya aliyemmwagia tindikali mumewe, walipopishana lugha. Inazunguka sana whatsapp hio story
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji16]

Hizi ni storee tu mkuu daah[emoji28][emoji1787]
 
Hahahahahah anayetoa hio kauli hajui japo hata million 100 tu inafananaje ikiwa kwenye account maana haijawahi kuwepo! [emoji23][emoji23][emoji23]
wabongo wana dharau sana yani.
Yani nimecheka kwanguvu[emoji851][emoji851][emoji851]
 
[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Kwa hiyo tuwaombee dua au?
 
Ghafla ni kama nilikuwa nasoma watu wapo Beverly Hills aisee!
 
Kim apumzike tu mwanaume haishiwi vituko huyooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…