Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaagh namba yake bado unayo, na unamfuatilia! Hujapasha kweliiiiNi single mama kwa sasa. Kachalala (kufulia) kwa lugha ya vijana.
Hajaolewa. Unataka namba yake Mkuu??
Sina namba yake yule Mumbwa yule. Ila nikitaka napata.Aaaagh namba yake bado unayo, na unamfuatilia! Hujapasha kweliiii
Na ya Mungu siku zote hushinda. Hata ufanyaje.
Kisa chake baada ya wewe kuwekea ndani?Ni single mama kwa sasa. Kachalala (kufulia) kwa lugha ya vijana.
Hajaolewa. Unataka namba yake Mkuu??
Ila umefupisha storyNiliishia kula mzigo, ijapokuwa hakuwa bikra ila walau chombo hakikua used sana.
Kitu kimoja ninachokiamini ni kuwa, inawezekana usiweze kujitetea sana lakini bidii yako kamwe haitokuacha. Mwezi mmoja na wiki mbili baadae nilipigiwa simu nirudi kazini. Nikalimwa barua ya onyo. Ukweli ni kuwa, mambo mengi yalikuwa hayaendi.
Imenilazimu Mkuu!.(Ila umefupisha story
Hukuwai kupashaNi single mama kwa sasa. Kachalala (kufulia) kwa lugha ya vijana.
Hajaolewa. Unataka namba yake Mkuu??
Nilishajibu Mkuu, 👇Hukuwai kupasha
Sina namba yake yule Mumbwa yule. Ila nikitaka napata.
Sijawahi kufikiria kupasha kiporo for leisure. Ila Nilishawahi kutaka kupasha kiporo ili kumfanyia kitu mbaya!.
Hapa ndipo madem wengi wanakosea. Sasa alikuona boya sahv yeye ndio falaNi single mama kwa sasa. Kachalala (kufulia) kwa lugha ya vijana.
Hajaolewa. Unataka namba yake Mkuu??
Yeye ndiyo boya zaidi!Hapa ndipo madem wengi wanakosea. Sasa alikuona boya sahv yeye ndio fala
Aiseee.So the girl had done sex at 14?Au alifanyia kwenu when you were away!
Legendary Pro+Legendary.
I envy your composure.Imenilazimu Mkuu!.
Wachangiaji wanalazimisha nimalize kwa haraka. Hawataki kukaa kwenye comma!
Sie wazee wa boma tunaelewa kilichotokeaSo the girl had done sex at 14?Au alifanyia kwenu when you were away!
Kili tokea nn? Ebu tujuzeSie wazee wa boma tunaelewa kilichotokea
Ulivyotaja jina la ukoo wa binti na ulivyianza kujibu hapa ..nimeconnect kitu na nimejua upo mkoa gani tayarii.Pytuuu mbaka!.
Bora useme aliliwa na vijana wenzangu lakini siyo mzee wangu!.
Ni laana kubwa na ni watu wanaoheshimiana mno!.
Na yale mavyakula ya kijijini lazima ashki awe nayo miaka yote hiyo [emoji1787]Nimeshangaa kweli unakubalije kutafutiwa mwananamke chini ya miaka 19 halafu sio bikra...? Halafu alikaa kwenu kwa muda wa miaka 4 nyumbani kwenu kukusubiria[emoji23][emoji23]. Jamaa anajipa moyo tu huo mwanamke ana kaumalaya flani hivi kalichojificha.
Umenikumbusha mbali enzi hizo hapa chuga mwanzilishi Wa hill neno arifu alikuwa anaitwa Jimy kichaa.acha zako Arif tumia hata freebasics utaenjoy
Kwani huna laini ya halotel kamanda huduma bure tu
Kwani sh ngapi Mark Zuckerberg kalipia
Chaaaaaaaaa!
😁😁😁😁
Sisi Masai not big issue hii,ni kama wazaramu tu no wivu.Sijui alipofanyia!.
Mimi nimemkuta when she was at 18 to 19. Kama alilalana nyumbani au kwao, siyo big case kwangu!.