Niliishia kula mzigo, ijapokuwa hakuwa bikra ila walau chombo hakikua used sana.
Kitu kimoja ninachokiamini ni kuwa, inawezekana usiweze kujitetea sana lakini bidii yako kamwe haitokuacha. Mwezi mmoja na wiki mbili baadae nilipigiwa simu nirudi kazini. Nikalimwa barua ya onyo. Ukweli ni kuwa, mambo mengi yalikuwa hayaendi.
Nyumbani niliacha mke na wazee, lakini sasa ratiba ikabadilika. Kila Ijumaa jioni naenda nyumbani then Jumatatu alfajiri narudi kuwahi kazini.
Namshukuru sana Mungu, sasa ni baba (original) wa watoto watatu. Alhamdulillah, kazini pia mambo si haba na maisha ni murua sana.
Nilichojifunza ni kuwa, 'our parents always wish us the best'. And if the best is not their option, at least they won't lead you into the worst'.
Wasikilize na upime wanachokitaka. Kama kweli kina mantiki songa mbele.
Maisha ya ndoa yana raha sana. Sina stress yoyote kuhusu familia. Ukimpata mwanamke ambaye anakuheshimu nawe ukamheshimu. Kila mtu akasimama katika nafasi yake kama mume na mke. Hakuna kushindana.