Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mke wa mtu miaka zaidi ya 20+Kumbe na uzee huu alikuwa bado kanunga!
Ndoa nyingine zilizovunjika mapema sana ni ile ya cuf Tanzania na CCMMsanii Nguli, Luiza Mbutu amedumu kwenye ndoa yapata miongo kadhaa, tofauti na wasanii wengi nchini.
Tumeshuhudia ndoa za wasanii wengi kutokudumu ikiwemo Dogo janja vs Uwoya, Shilole Vs uchebe, jay Dee Vs Gardner
Nimefuta. Nilikuwa naandika madini chotara, riwaya, ngonjera na mashairi kwa ajili ya kumsifia Lwiza Mbutu na ndoa yake, ila nimeamua kufutaAnko Bujibuji Simba Nyamaume hiyo imla unayoandika itakuwa ni ndefu sana
Hauna ka picha kao??🤔🤔🤔Marlaw vs Besta
Mkata viuno wa twanga pepeta.Huyo Mbutu alikuwa msanii wa nini mbona simjui
Wapo kina navy kenzoUsanii na ndoa ninaamini huwa havikai pamoja kwa muda mrefu.ikitokea imekaa basi kuna mmojawapo ni muelewa/alijishusha/msanii aliacha usanii.
Kwanini umefuta jamani tena??ninayasubiria madini chotara nami yanisaidie huko mbeleni kusheherekea anivesari ya 20 yiazNimefuta. Nilikuwa naandika madini chotara, riwaya, ngonjera na mashairi kwa ajili ya kumsifia Lwiza Mbutu na ndoa yake, ila nimeamua kufuta
So good
Watia hamasa hawa watu.hongera nyingi kwao🥰🥰
Marry each other ni upuuzi sisi tunaoa /kuolewaMwanamke akisha kuja na Mambo ya kuowana, na siyo kuolewa,huyo lazima atakua wale wanaharakati!!
Iko hivi, Mwanamke ukija kuishi kwangu nimekuoa, Mwanaume anayeishi kwa mwanamke ameolewa!Sasa kama sioani nae ..ile pete mwanamke anayomvisha mwanaume pale kanisani huwa ni yanini ndugu muuliza swali?
To me this is The best!!♥️
Asante sana Mkuu kwa offer ubarikiwe sana tuko pamoja sana!!Jibu zuri sana hili.umeshapata breakfast kiongozi??kama bado tafadhali kunywa naja lipa
You must be very youngHuyo Mbutu alikuwa msanii wa nini mbona simjui
Mkuu hakuna kitu Kama kuoawana, Wanaume ndiyo tunaowa,na Mwanamke ndiyo anaolewa! Kama mahali zingekua zinatoka pande zote mbili hapo kidogo tungeweza kusema kuna kuowana Mkuu!!Punguzeni basi makaririsho ndugu zanguni
Kuna sehemu nimekuagizia breakfast ila koment imenifanya nighairi[emoji3]