Ndoa ya Luiza Mbutu ni ya mfano

Ndoa ya Luiza Mbutu ni ya mfano

Shilole ni msagaji na pia anapelekesha wanaume hawezi kudumu

Wema anapenda starehe sana na mtumiaji mbaya wa pesa

Irene woya ana madanga mengi na anataka pesa kwaio hawez kudumu kwasababu anatak kuwa huru

Jay dee ni tasa kwaio hakuna mwanaume atakae kubaliana na hilo
 
Iko hivi, Mwanamke ukija kuishi kwangu nimekuoa, Mwanaume anayeishi kwa mwanamke ameolewa!

Au umepeleka mahari kwao mwanaume? Hapo mtakuwa mmeoana
A42913D6-F4B0-4B96-BA6B-9817D2DE7050.jpeg

Umeshinda mkuu
 
Haya hapa nishaongeza idadi ninaowajua. Aisha Madinda, Lilian Internet, Kimobitel na huyu. Na wote nawajulia JF
Miaka hiyo huku Twanga Pepeta ya Banza Stone, Ally Choki na Lwiza Mbutu, huku Tam Tam ya Mwinjuma Muumin, Badi Bakule na Kimobiteli; bendi zote za Asha Baraka, upande wa pili una TOT Band wana wa achimenengule ya kina Misambano chini ya John Komba(RIP). Hiyo ilikuwa kabla ya FM Academia(Wajelajela) na Akudo Sound.

Sadly hizo band zote kiuhalisia zimekufa
 
Shilole ni msagaji na pia anapelekesha wanaume hawezi kudumu

Wema anapenda starehe sana na mtumiaji mbaya wa pesa

Irene woya ana madanga mengi na anataka pesa kwaio hawez kudumu kwasababu anatak kuwa huru

Jay dee ni tasa kwaio hakuna mwanaume atakae kubaliana na hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu khaaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka hiyo huku Twanga Pepeta ya Banza Stone, Ally Choki na Lwiza Mbutu, huku Tam Tam ya Mwinjuma Muumin, Badi Bakule na Kimobiteli; bendi zote za Asha Baraka, upande wa pili una TOT Band wana wa achimenengule ya kina Misambano chini ya John Komba(RIP). Hiyo ilikuwa kabla ya FM Academia(Wajelajela) na Akudo Sound.

Sadly hizo band zote kiuhalisia zimekufa
Hawa walifanya magazeti ya udaku yauze sana
 
Back
Top Bottom