Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah. Hapo nlifocus zaidi kwenye ule ubabe ubabe wa bibie.Aika ndo kaamua kuwaa mpoleeee, nahreel ni cheater, alikua ana date na Rosa ree, then akaja ku date na dada fulan wa chuo CBE, had aika alitokaga public kuhemkwa.
Labda useme Aika ni mtu km ana tabia ya, ubabe fulan na ujuaji. Hvyo sawan
Sent using Jamii Forums mobile app
Alichagua ndoa over usanii,angemix vyote angechemsha,hata besta wa Marlaw aliacha usanii kulinda ndoa.Unamfaham msanii WA kuitwa NINA alikuwa pisi Kali balaa.
Yupo kwenye ndoa Nadhani ni mwaka WA 18 sasa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
PumbavuuuuuUmesahau ile ya ukawa na lowasa?
Ni kweli Aika ana ubabe fulan na ujuaji, kuna sehemu niliwahi kukaa nae kuna jambo lilitukutanishaa tulikua ka kundi, kheeeh nilichokaa n km mbishi fulan.Yeah. Hapo nlifocus zaidi kwenye ule ubabe ubabe wa bibie.
Nahreel angeweka Ego mbele, bila shaka wasingefika hapo.
Alitemwa yeye, mabinti wa kwa kagame mchezooo? Wanawezana wenyewee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]AY naye alitema ile pisi ya Rwanda??
Madem type ya Aika ni manipulators, huwa wanataka ku dominate territory yao mwanzo mwisho kiasi kwamba kwa mtu huru anaanza ku feel suffocation sasa badala ya upendo.Aika ndo kaamua kuwaa mpoleeee, nahreel ni cheater, alikua ana date na Rosa ree, then akaja ku date na dada fulan wa chuo CBE, had aika alitokaga public kuhemkwa.
Labda useme Aika ni mtu km ana tabia ya, ubabe fulan na ujuaji. Hvyo sawan
Sent using Jamii Forums mobile app
AY naye alitema ile pisi ya Rwanda??
Sasa Nahreel kaachana na Ile pride ya wanaume wa Musoma. Kaufyata kwa mkaskazini wake!Ni kweli Aika ana ubabe fulan na ujuaji, kuna sehemu niliwahi kukaa nae kuna jambo lilitukutanishaa tulikua ka kundi, kheeeh nilichokaa n km mbishi fulan.
Si ni mtu wa kaskazini yule
Sent using Jamii Forums mobile app
I seeInaonesha mziki ulikuwa mnene
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman anatetea ndoa yake, wivu ndo mapenzi enyewe. HuhuhuhMadem type ya Aika ni manipulators, huwa wanataka ku dominate territory yao mwanzo mwisho kiasi kwamba kwa mtu huru anaanza ku feel suffocation sasa badala ya upendo.
Unageuka kuwa kama tool sasa na sio binadamu. 24/7 anataka akuone around her ukitoka tu lawama, umeenda kwa madem zako vurugu vurugu. Mwanamke anapenda sana ila anazingua na mawivu yaliopitiliza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ndo vizuri waendelee kuishi Pa1, maana kutengana na kuachana nako sio sahihi,. Tena wale sahv wna watoto wakae walee familia.Sasa Nahreel kaachana na Ile pride ya wanaume wa Musoma. Kaufyata kwa mkaskazini wake!
[emoji1]
Wababe hawa
Hivi unadhani kwanini Nahreel ameamua kulast na Aika?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ndo vizuri waendelee kuishi Pa1, maana kutengana na kuachana nako sio sahihi,. Tena wale sahv wna watoto wakae walee familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aika kwao Wana hela huyo boya ana malengo ya mbaliAika ndo kaamua kuwaa mpoleeee, nahreel ni cheater, alikua ana date na Rosa ree, then akaja ku date na dada fulan wa chuo CBE, had aika alitokaga public kuhemkwa.
Labda useme Aika ni mtu km ana tabia ya, ubabe fulan na ujuaji. Hvyo sawan
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeaaaaah na isitoshe wametoka mbali jaman, 11yrs sio mchezo, tena kwa wasanii uwiiii. Hongera zao.Hivi unadhani kwanini Nahreel ameamua kulast na Aika?
Ukiachana suala la kwamba wana watoto sasa. Factors tu zingine.
Hata nahreel kwao wana hela, baba yake mkubwa ni mbunge, ila inasemekana ndo mzazi lakini. Rumours tyuuh. Ila, kwao wana hela.Aika kwao Wana hela
Umeingia lini mjini kutoka huko kwenu berege?Huyo Mbutu alikuwa msanii wa nini mbona simjui