Ndoa ya Marekani ya Mtangazaji Maulid Kitenge yadaiwa kuaota mbawa baada ya kumuoa Mbunge Nusrat Hanje

Ndoa ya Marekani ya Mtangazaji Maulid Kitenge yadaiwa kuaota mbawa baada ya kumuoa Mbunge Nusrat Hanje

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Hiyo ndiyo habari ya motomoto kunako mainstream, ambapo inasemekana mtangazaji maarufu Maulid wa Wasafi TV hapa nchini, ndoa yake ya Marekani imeota mbawa baada ya kumuoa Mbunge N.

Chanzo cha ndoa hiyo kuvunjika ni mtangazaji huyo kuoa bila kuomba consent kutoka kwa mke wake huyo, na hata baada ya kuulizwa na mke wake huyo alikataa katakata kwamba yeye hajaoa mke mwingine.

Habari zinasema huyo Mke wa Marekani ndipo alipoingia chimbo na kufukunyua ma-file ya "Ndoa" za mtangazaji huyo ambazo hazijulikani public na kukuta ana utitiri wa wanawake. Inasemekana kila nchi anayotembeleaga jamaa ana mwanamke na huwa anahakikisha anawazalisha ili kuweka mizizi kwa ajili ya malengo yake fulani fulani.

Kwa sasa mwanamama huyo wa Marekani ameandika barua ubalozi wa nchi yake ya kumshtaki mtangazaji huyo kwani amekuwa akituma miamala ya kutosha kwa malengo waliyojiwekeaga, kumbe jamaa ana malengo yake tofauti..

Kweli mjini njoo na kichwa tu, akili utazikuta hukuhuku..
 
Hiyo ndiyo habari ya motomoto kunako mainstream, ambapo inasemekana mtangazaji maarufu M wa redio changa hapa nchini, ndoa yake ya Marekani imeota mbawa baada ya kumuoa Mbunge N.

Chanzo cha ndoa hiyo kuvunjika ni mtangazaji huyo kuoa bila kuomba consent kutoka kwa mke wake huyo, na hata baada ya kuulizwa na mke wake huyo alikataa katakata kwamba yeye hajaoa mke mwingine.

Habari zinasemw huyo Mke wa Marekani ndipo alipoingia chimbo na kufukunyua ma-file ya "Ndoa" za mtangazaji huyo ambazo hazijulikani public na kukuta ana utitiri wa wanawake. Inasemekana kila nchi anayotembeleaga jamaa ana mwanamke na huwa anahakikisha anawazalisha ili kuweka mizizi kwa ajili ya malengo yake fulani fulani.

Kwa sasa mwanamama huyo wa Marekani ameandika barua ubalozi wa nchi yake ya kumshtaki mtangazaji huyo kwani amekuwa akituma miamala ya kutosha kwa malengo waliyojiwekeaga, kumbe jamaa ana malengo yake tofauti..

Kweli mjini njoo na kichwa tu, akili utazikuta hukuhuku..
Maulid Baraka wa kitenge ni nouma, anachambuliwa huko Instagram kama yeye anavyochambuaga magazeti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ila Kaka zangu wa kiislamu nini shida, yaani kutwa kuoa na kuacha. Sijui tutakuwa na kizazi gani jamani.
Yaani kuanzia manara, masudi kipanya, na huyu maulid daah.ukija kwa diamond ndio hivyo Tena hata kuoa hataki.
Ally kiba naye ndoa imeshamshinda.
Hivi tunawafundisha nini watoto wetu wanaokua.
Wataishi maisha ya kifamilia kweli.

Kongole kwa wakristu Wanaheshimu sana ndoa zao.kina Marlow tangu wameoa wapo kimya wametulia ktk ndoa zao, billnass na nandy pia.
 
Na hua anaoa wenye hela tu.

Mke mpya kaoa mbunge baada ya kuona mshahara wake ni milioni 18 kwa mwezi
Uamuzi ni wako dunia hii..ukiamua ukojolee limalaya linalojiuza , ama lijanamke ambalo halina mbele wala nyuma ni wewe tu...au ukojoleee pazuri lishangazi liko UN, au limbunge, ama lifanyabiashara likubwa la afrika huko,, ni wewe tu.
 
Back
Top Bottom