Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maulid ni mariooJamaa anajitahidi sana kuwatatulia wanawake shida ya kutolewa,anyway ni changamoto tu.
Ila Kaka zangu wa kiislamu nini shida, yaani kutwa kuoa na kuacha. Sijui tutakuwa na kizazi gani jamani.
Yaani kuanzia manara, masudi kipanya, na huyu maulid daah.ukija kwa diamond ndio hivyo Tena hata kuoa hataki.
Ally kiba naye ndoa imeshamshinda.
Hivi tunawafundisha nini watoto wetu wanaokua.
Wataishi maisha ya kifamilia kweli.
Kongole kwa wakristu Wanaheshimu sana ndoa zao.kina Marlow tangu wameoa wapo kimya wametulia ktk ndoa zao, billnass na nandy pia.
Aisee zingekuwa nyingi...Wanawake wa kiiislamu weusi huwa hawaenjoy ndoa zao. Wanaume wa kiislam weusi wenye vipato vikubwa wapo wachache na hao wachache kazi yao kuoa kuzalisha na kuacha kisha kuoa upya.
Waarabu waislam wana ustaarabu tatizo na wao wanaoa waarabu wenzao tu.
Wanawake wa kikristo wana advantage sokoni maana wakaka wa kikristo wenye vipato vikubwa wapo wengi.. na dini yao inawabana na kuwafosi ustaarabu.
Imagine mtu kama millard ayo alivyojipata kama angekuwa muislamu angekuwa na ndoa ngapi ?
Asante kwa maelezo maana nimeiona kwa mange alafu kasema sijui twende kwenye app.. ambayo wengine hatunaHiyo ndiyo habari ya motomoto kunako mainstream, ambapo inasemekana mtangazaji maarufu Maulid wa Wasafi TV hapa nchini, ndoa yake ya Marekani imeota mbawa baada ya kumuoa Mbunge N.
Chanzo cha ndoa hiyo kuvunjika ni mtangazaji huyo kuoa bila kuomba consent kutoka kwa mke wake huyo, na hata baada ya kuulizwa na mke wake huyo alikataa katakata kwamba yeye hajaoa mke mwingine.
Habari zinasemw huyo Mke wa Marekani ndipo alipoingia chimbo na kufukunyua ma-file ya "Ndoa" za mtangazaji huyo ambazo hazijulikani public na kukuta ana utitiri wa wanawake. Inasemekana kila nchi anayotembeleaga jamaa ana mwanamke na huwa anahakikisha anawazalisha ili kuweka mizizi kwa ajili ya malengo yake fulani fulani.
Kwa sasa mwanamama huyo wa Marekani ameandika barua ubalozi wa nchi yake ya kumshtaki mtangazaji huyo kwani amekuwa akituma miamala ya kutosha kwa malengo waliyojiwekeaga, kumbe jamaa ana malengo yake tofauti..
Kweli mjini njoo na kichwa tu, akili utazikuta hukuhuku..
wabantu husema,Hiyo ndiyo habari ya motomoto kunako mainstream, ambapo inasemekana mtangazaji maarufu Maulid wa Wasafi TV hapa nchini, ndoa yake ya Marekani imeota mbawa baada ya kumuoa Mbunge N.
Chanzo cha ndoa hiyo kuvunjika ni mtangazaji huyo kuoa bila kuomba consent kutoka kwa mke wake huyo, na hata baada ya kuulizwa na mke wake huyo alikataa katakata kwamba yeye hajaoa mke mwingine.
Habari zinasemw huyo Mke wa Marekani ndipo alipoingia chimbo na kufukunyua ma-file ya "Ndoa" za mtangazaji huyo ambazo hazijulikani public na kukuta ana utitiri wa wanawake. Inasemekana kila nchi anayotembeleaga jamaa ana mwanamke na huwa anahakikisha anawazalisha ili kuweka mizizi kwa ajili ya malengo yake fulani fulani.
Kwa sasa mwanamama huyo wa Marekani ameandika barua ubalozi wa nchi yake ya kumshtaki mtangazaji huyo kwani amekuwa akituma miamala ya kutosha kwa malengo waliyojiwekeaga, kumbe jamaa ana malengo yake tofauti..
Kweli mjini njoo na kichwa tu, akili utazikuta hukuhuku..
Huyo Nusrat mwenyewe chiiiiiizi ....ukisikia chizi mpz ndio huyu sasa .....Hana akili hata kidogoHiyo ndiyo habari ya motomoto kunako mainstream, ambapo inasemekana mtangazaji maarufu Maulid wa Wasafi TV hapa nchini, ndoa yake ya Marekani imeota mbawa baada ya kumuoa Mbunge N.
Chanzo cha ndoa hiyo kuvunjika ni mtangazaji huyo kuoa bila kuomba consent kutoka kwa mke wake huyo, na hata baada ya kuulizwa na mke wake huyo alikataa katakata kwamba yeye hajaoa mke mwingine.
Habari zinasemw huyo Mke wa Marekani ndipo alipoingia chimbo na kufukunyua ma-file ya "Ndoa" za mtangazaji huyo ambazo hazijulikani public na kukuta ana utitiri wa wanawake. Inasemekana kila nchi anayotembeleaga jamaa ana mwanamke na huwa anahakikisha anawazalisha ili kuweka mizizi kwa ajili ya malengo yake fulani fulani.
Kwa sasa mwanamama huyo wa Marekani ameandika barua ubalozi wa nchi yake ya kumshtaki mtangazaji huyo kwani amekuwa akituma miamala ya kutosha kwa malengo waliyojiwekeaga, kumbe jamaa ana malengo yake tofauti..
Kweli mjini njoo na kichwa tu, akili utazikuta hukuhuku..
Wakiachana tu nami namviziaHuyo Nusrat mwenyewe chiiiiiizi ....ukisikia chizi mpz ndio huyu sasa .....Hana akili hata kidogo
Ni kweli ni wastaarabu sana papa Francis kafika mbali karuhusu hadi ndoa za jinsia moja zibarikiwe makanisaniIla Kaka zangu wa kiislamu nini shida, yaani kutwa kuoa na kuacha. Sijui tutakuwa na kizazi gani jamani.
Yaani kuanzia manara, masudi kipanya, na huyu maulid daah.ukija kwa diamond ndio hivyo Tena hata kuoa hataki.
Ally kiba naye ndoa imeshamshinda.
Hivi tunawafundisha nini watoto wetu wanaokua.
Wataishi maisha ya kifamilia kweli.
Kongole kwa wakristu Wanaheshimu sana ndoa zao.kina Marlow tangu wameoa wapo kimya wametulia ktk ndoa zao, billnass na nandy pia.
Wanawake wa kiislam hawana shida,washazoea kuwekwa mafunguNusrat akiona yanayoendelea kule insta atamuwekea uwalakini mkubwa sana huyu jamaa
Maulid anajua kucheza na wanawake wenye pesa zao😆😆😆Wanawake wa kiislam hawana shida,washazoea kuwekwa mafungu
[emoji23][emoji23][emoji23] poleeeSikuona, kuna connection mjini?
Sasa huyo Nusrat nae si anataka kuporwa pesa za ubunge na jamaa apite hivi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nusrat akiona yanayoendelea kule insta atamuwekea uwalakini mkubwa sana huyu jamaa
Aisee zingekuwa nyingi...
Njoo huku mtaani sasa vijana wanaona balaa lkn ndoa hazidumu yaani pakishapatikana mtoto mmoja tu ndoa chaliii....ndoa zingine za msimu wa ramadhan, msimu ukiisha tu hamna ndoa.