Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Page ya 3 hamna hata picha za hao mawifi wa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka nimefika kwa koment yako picha hamna, watu vp hawa?Page ya 3 hamna hata picha za hao mawifi wa taifa
Wanawake si wanashoboka na jina wenyewe,Acha awafukunyue+kuwatumia tuNa ni bingwa wa kutangaza ndoa
Hiyo ndiyo habari ya motomoto kunako mainstream, ambapo inasemekana mtangazaji maarufu Maulid wa Wasafi TV hapa nchini, ndoa yake ya Marekani imeota mbawa baada ya kumuoa Mbunge N.
Chanzo cha ndoa hiyo kuvunjika ni mtangazaji huyo kuoa bila kuomba consent kutoka kwa mke wake huyo, na hata baada ya kuulizwa na mke wake huyo alikataa katakata kwamba yeye hajaoa mke mwingine.
Habari zinasemw huyo Mke wa Marekani ndipo alipoingia chimbo na kufukunyua ma-file ya "Ndoa" za mtangazaji huyo ambazo hazijulikani public na kukuta ana utitiri wa wanawake. Inasemekana kila nchi anayotembeleaga jamaa ana mwanamke na huwa anahakikisha anawazalisha ili kuweka mizizi kwa ajili ya malengo yake fulani fulani.
Kwa sasa mwanamama huyo wa Marekani ameandika barua ubalozi wa nchi yake ya kumshtaki mtangazaji huyo kwani amekuwa akituma miamala ya kutosha kwa malengo waliyojiwekeaga, kumbe jamaa ana malengo yake tofauti..
Kweli mjini njoo na kichwa tu, akili utazikuta hukuhuku..
Unauhakika Millard Hana wake wewe utakuwa hujui
Nenda ista ukamuone wifi Debora wa MarekaniMpaka nimefika kwa koment yako picha hamna, watu vp hawa?
Oooh sawaYes ni Mmnayema kwa asili sema familia ilihamia Tabora....
Huyo wa Marekan anayeachana naye ajiandae kufililiska.Wamarekani haki za mwanamke ziko juu mnoKamuoa Nusrat mbunge, kaoa kimya kimya, mke wake wa Marekani kagundua, huyo Debora wa marekani ameamua kuvunja ndoa, but alikuwa anamtumia maulid miamala ya kutosha
😃mpaka DP World wamempa mke sababu anapenda hayo siyo pombe
Anatisha sanaMaulid Baraka wa kitenge ni nouma, anachambuliwa huko Instagram kama yeye anavyochambuaga magazeti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
asante, nakwendaNenda ista ukamuone wifi Debora wa Marekani
Kinyama sana.Unacheka?
HahahahahaJamaa ndo mana anafanya mazoezi Sana
Stamina ya kupiga mzigo wake wengi c mchezo.
Ni mzee, born 1975. Nakumbuka aliishia form four pale al-haramain pale kariakoo akapata DIV ZERO.Maulidi Kitenge ni kijana au mzee?
Ukifanya sana mazoezi unakuwa fiti sana kwenye yale mambo?Jamaa ndo mana anafanya mazoezi Sana
Stamina ya kupiga mzigo wake wengi c mchezo.
Wifi yupi wa marekani au mbunge wa covid19?Page ya 3 hamna hata picha za hao mawifi wa taifa
Akaingia kijanja janja DSJ course ya journalism.. papu radio oneNi mzee, born 1975. Nakumbuka aliishia form four pale al-haramain pale kariakoo akapata DIV ZERO.
Wa marekani na wengine wote, si tumeambiwa ndoa ya jamaa ina branches nchi nyingiWifi yupi wa marekani au mbunge wa covid19?