Ndoa ya Marekani ya Mtangazaji Maulid Kitenge yadaiwa kuaota mbawa baada ya kumuoa Mbunge Nusrat Hanje

Ndoa ya Marekani ya Mtangazaji Maulid Kitenge yadaiwa kuaota mbawa baada ya kumuoa Mbunge Nusrat Hanje

Ila kwa huyo mwanamke kimarekani tena kitakachomkuta kifupi kwanza asije kanjaga marekani akitua tu polisi wa Marekani wanamdaka na kumsweka ndani .Kuachana na mwanamke wa Kimarekani mziki wake sio sawa na huku uswahilini kwetu unaamka unasema kuanzia sasa simtaki.Shughuli ya mali mgawanyo lazima ilipuke huna mali jela inakuhusu Hawakuachii kuwa nenda bure.Halafu cheating kwa Mwanamke wa kimarekani huchukulia kwa uzito na ni kosa kubwa mno

Sasa hivi Kitenge kifupi kwa marekani hata kama passport yake haijagongwa PI yaani Prohibited Immigrant ajihesabu tu kuwa ni Prohibited Immigrant Marekani hilo ndilo.la kwanza anatakiwa kulijua.Asije kannada Marekani milele. Recoding zao wale hazifutiki
Kwa hili nakubaliana nawe, wanawake wa kimarekani wanapewa kipaumbele sana katika swala zima la haki zao mbele ya wageni especially toka Africa. Sijui tuna gundu gani waafrica😩🙌
 
Maulid ikiwa atakuwa na utitiri wa ndoa basi ni nne tu, ama hayo mengine ikiwa utatakiwa kuthibitisha utaweza? Au nawe wataka ndoa na Maulid?
Na uzuri wa Kitenge hajaweka sana maisha yake binafsi hasa ya kifamilia mitandaoni..
Ndivyo unavyojidanganya wewe? Ulishasikia ile kampeni ya ''me too''? Haya mambo yakilipuka huwezi kuyaficha!
 
Maulid kitenge ni mwanaume anaelelewa tangu zamani kwa sisi tunaomjua
Ndiyo maana wanasema maisha ya kwenye social media usiige. Watu walikuwa wanauliza kila siku huyu jamaa ana pato gani mpaka haishi kusafiri? Kwa kifupi hawa ma-staa wa social media, radio na TV, music na uigizaji huwa wanaishi maisha feki sana.
 
Ndiyo maana wanasema maisha ya kwenye social media usiige. Watu walikuwa wanauliza kila siku huyu jamaa ana pato gani mpaka haishi kusafiri? Kwa kifupi hawa ma-staa wa social media, radio na TV, music na uigizaji huwa wanaishi maisha feki sana.
Kabisa huyu jamaa anawezeshwa na wanawake tangu anajitambua alikuwa na wake wawili zamani akiwa kijana na walikuwa wanaishi nje ya nchi na ndio safari zote hizo anzoendaga sasa naona kakomaa kuoa wengine na hapa bongo sasahivi ndio kajiopolea mbunge hah hahaha jamaa ni mariooo aliyekubuhu
 
Ila mzee wa Kino hadi sasa hivi mimi niko upande wa Maulid. Sioni kosa lake. Ninachoona ni wivu tu wa wanawake baada ya mwenzao kuongezeka. Huu upepo utapita na wanawake zake watatulia. Sema najiuliza Maulid alitumia mbinu gani kumnasa kada wa CHADEMA Nusrat?
Kada wa ccm huyo na mpaka sare anavaa Sasa.
 
Maulid ikiwa atakuwa na utitiri wa ndoa basi ni nne tu, ama hayo mengine ikiwa utatakiwa kuthibitisha utaweza? Au nawe wataka ndoa na Maulid?
Na uzuri wa Kitenge hajaweka sana maisha yake binafsi hasa ya kifamilia mitandaoni..
Mtu wa aina yake kuweka maisha yake binafsi mtandaoni ni kujibania Riziki.
 
Mama yake Mbunge wa Mtama ni Mnyiramba wa Singida, actually jina kamili la Nape ni Napegwa(Nimepewa)...jina la Kinyiramba na alizaliwa wakati Mzee Nnauye akiwa Mkuu wa Mkoa wa Singida miaka hiyo
Asante kwa taarifa mkuu.
 
Kabisa huyu jamaa anawezeshwa na wanawake tangu anajitambua alikuwa na wake wawili zamani akiwa kijana na walikuwa wanaishi nje ya nchi na ndio safari zote hizo anzoendaga sasa naona kakomaa kuoa wengine na hapa bongo sasahivi ndio kajiopolea mbunge hah hahaha jamaa ni mariooo aliyekubuhu
HAHAHAHA! Hataki shida, wife wake wa kwanza kujulikana alikuwa yule mama wa TBC.
 
mimi niko upande wa Maulid. Sioni kosa lake. Ninachoona ni wivu tu wa wanawake baada ya mwenzao kuongezeka.
Usicheze na mwanamke wa kimarekani yeye huwa wivu wake hauko kama wa waswahili utaukuta umeshatua mahakamani.Wivu wa mwanamke mke wa Kimarekani ni mahakamani. Hasutani na wewe kama mwanamke wa kizaramo Utakuta notice tu unaitwa mahakamani
 
Back
Top Bottom