Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yake Mbunge wa Mtama ni Mnyiramba wa Singida, actually jina kamili la Nape ni Napegwa(Nimepewa)...jina la Kinyiramba na alizaliwa wakati Mzee Nnauye akiwa Mkuu wa Mkoa wa Singida miaka hiyoMaulidi amechanganya, baba ni mnyamwezi, mama ni mtu wa Lindi. Wana uhusiano wa kindugu na mbunge wa Mtama kupitia mama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan huyu Nusrat hamjui MK km ni tapeli wa mapenzi? Mjini kaja leo? WoiiiihTatizo mahaba kolezwa kumbe mtu ana malengo yake[emoji1787][emoji1787]
Yulee hatoki kwenye fursa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maulid yy anachungulia fursa tu
Namkubali kwa hilo [emoji1]
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda hawamjui mwaduda. [emoji23]
Tena chizi fresh.
Ila mzee wa Kino hadi sasa hivi mimi niko upande wa Maulid. Sioni kosa lake. Ninachoona ni wivu tu wa wanawake baada ya mwenzao kuongezeka. Huu upepo utapita na wanawake zake watatulia. Sema najiuliza Maulid alitumia mbinu gani kumnasa kada wa CHADEMA Nusrat?Maulid yy anachungulia fursa tu
Namkubali kwa hilo 😄
Ova
Mazoezi ya kukimbia ni muhimu sana.Jamaa ndo mana anafanya mazoezi Sana
Stamina ya kupiga mzigo wake wengi c mchezo.
Ubunge wake hauna guarantee labda inawezekana asiupate tena uchaguzi ujao, labda naye kajiweka pale ili acheze kamari ya miaka ijayo😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan huyu Nusrat hamjui MK km ni tapeli wa mapenzi? Mjini kaja leo? Woiiiih
Nusrat mwepesi sana.....Ila mzee wa Kino hadi sasa hivi mimi niko upande wa Maulid. Sioni kosa lake. Ninachoona ni wivu tu wa wanawake baada ya mwenzao kuongezeka. Huu upepo utapita na wanawake zake watatulia. Sema najiuliza Maulid alitumia mbinu gani kumnasa kada wa CHADEMA Nusrat?
Kitenge wanawake ambao ni mshale wa saa, yeye hawatakiMazoezi ya kukimbia ni muhimu sana.
Maulid ikiwa atakuwa na utitiri wa ndoa basi ni nne tu, ama hayo mengine ikiwa utatakiwa kuthibitisha utaweza? Au nawe wataka ndoa na Maulid?Hiyo ndiyo habari ya motomoto kunako mainstream, ambapo inasemekana mtangazaji maarufu Maulid wa Wasafi TV hapa nchini, ndoa yake ya Marekani imeota mbawa baada ya kumuoa Mbunge N.
Chanzo cha ndoa hiyo kuvunjika ni mtangazaji huyo kuoa bila kuomba consent kutoka kwa mke wake huyo, na hata baada ya kuulizwa na mke wake huyo alikataa katakata kwamba yeye hajaoa mke mwingine.
Habari zinasema huyo Mke wa Marekani ndipo alipoingia chimbo na kufukunyua ma-file ya "Ndoa" za mtangazaji huyo ambazo hazijulikani public na kukuta ana utitiri wa wanawake. Inasemekana kila nchi anayotembeleaga jamaa ana mwanamke na huwa anahakikisha anawazalisha ili kuweka mizizi kwa ajili ya malengo yake fulani fulani.
Kwa sasa mwanamama huyo wa Marekani ameandika barua ubalozi wa nchi yake ya kumshtaki mtangazaji huyo kwani amekuwa akituma miamala ya kutosha kwa malengo waliyojiwekeaga, kumbe jamaa ana malengo yake tofauti..
Kweli mjini njoo na kichwa tu, akili utazikuta hukuhuku..
Thubutuuu yakee, atajutaa mbona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ubunge wake hauna guarantee labda inawezekana asiupate tena uchaguzi ujao, labda naye kajiweka pale ili acheze kamari ya miaka ijayo[emoji38]
Sema wanaume hatuzeeki aisee. Kitenge kamzidi Nusrat zaidi ya miaka 20 ila fresh tu.Nusrat mwepesi sana.....
Kwanza miaka ya hivi karibuni
Nusrat ndy kaanza kuonekana,kupendeza,kujua kuvaa
Kwa jina la maulid,nusrat lazima anase kwa kitenge this kweli kitenge hana kosa wanawake wenyewe wanashoboka naye
Ova
Hizi ndio zinaitwa ndoa za kimaslahi, kama ni Sunna kwanini waoane kwa Siri?🤣🤣🤣🙌Thubutuuu yakee, atajutaa mbona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wahenga wanasema ng'ombe hazeeki maini🤣🤣🤣Sema wanaume hatuzeeki aisee. Kitenge kamzidi Nusrat zaidi ya miaka 20 ila fresh tu.
🤣🤣🤣🤣🙌Kitenge wanawake ambao ni mshale wa saa, yeye hawataki
Wale sijui kodi imeisha,ntumie ya matumizi ahh hawataki 😄
Ova
Kwanini wanaume hawazeeki?Sema wanaume hatuzeeki aisee. Kitenge kamzidi Nusrat zaidi ya miaka 20 ila fresh tu.
Ila kwa huyo mwanamke kimarekani tena kitakachomkuta kifupi kwanza asije kanjaga marekani akitua tu polisi wa Marekani wanamdaka na kumsweka ndani .Kuachana na mwanamke wa Kimarekani mziki wake sio sawa na huku uswahilini kwetu unaamka unasema kuanzia sasa simtaki.Shughuli ya mali mgawanyo lazima ilipuke huna mali jela inakuhusu Hawakuachii kuwa nenda bure.Halafu cheating kwa Mwanamke wa kimarekani huchukulia kwa uzito na ni kosa kubwa mnoHizi ndio zinaitwa ndoa za kimaslahi, kama ni Sunna kwanini waoane kwa Siri?🤣🤣🤣🙌