Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Huyo Kitenge mwenyewe kumbe ni mtu wa Kitonga aka Mariooo. Ukimuangalia kwa haraka haraka utasema mtu wa maana kumbe hovyo mpenda vya buree.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijua tu huyu jamaa shule hana kwa jinsi anavyoongea, kumbe ni kweli alipata ZERO form 4. Seti tupu hii 😂 😂 😂 😂 😂Ni mzee, born 1975. Nakumbuka aliishia form four pale al-haramain pale kariakoo akapata DIV ZERO.
Kwahio huyu Kitenge kafanya uwekezaji mkubwa kwenye dyudyu sio,.. nakumbuka aliowaga wa mama watu wazima kitambo sana Eshe Muhidin alikua mtangazaji wa Radio Tz na Rehema Kayugwa alikua akifanya kazi UN Darfur- Sudan. Baadae naona ndio huyo wa US na mh. mbunge. Atakua amewekeza pakubwa kwenye dudu huyu Mariooo au ni mnyonyaji mzuri wa papuchi anatumia kaujuzi kake vizuri 😂 😂 😂 😂 😂 😂Anapenda mserereko toka akiwa kijana na hawezi kuacha
Jamaa analelewa siku zote
Nusrat akiona yanayoendelea kule insta atamuwekea uwalakini mkubwa sana huyu jamaa
Umemsahau MC PilipiliIla Kaka zangu wa kiislamu nini shida, yaani kutwa kuoa na kuacha. Sijui tutakuwa na kizazi gani jamani.
Yaani kuanzia manara, masudi kipanya, na huyu maulid daah.ukija kwa diamond ndio hivyo Tena hata kuoa hataki.
Ally kiba naye ndoa imeshamshinda.
Hivi tunawafundisha nini watoto wetu wanaokua.
Wataishi maisha ya kifamilia kweli.
Kongole kwa wakristu Wanaheshimu sana ndoa zao.kina Marlow tangu wameoa wapo kimya wametulia ktk ndoa zao, billnass na nandy pia.
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi ndio zinaitwa ndoa za kimaslahi, kama ni Sunna kwanini waoane kwa Siri?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Hakuna mwanamke wa kimarekani anahonga wewe,jela inakuhusu Hawakuachii kuwa nenda bure.Halafu cheating kwa Mwanamke wa kimarekani
Umeongea point mnyoroxho😅Uamuzi ni wako dunia hii..ukiamua ukojolee limalaya linalojiuza , ama lijanamke ambalo halina mbele wala nyuma ni wewe tu...au ukojoleee pazuri lishangazi liko UN, au limbunge, ama lifanyabiashara likubwa la afrika huko,, ni wewe tu.