For real? Kweli dunia dekio asee!
Lakini Christina hana utoto kihivyo, keshakuwa mtu mzima, sasa anakosaje utulivu? Unajua kina Martha bado wadogo, wanaweza kuanguka kirahisi. Lakini huyu dada yupo 30+ au 40+ huko, anashindwaje kutulia kwenye ndoa?siwezi kukukatalia, sababubhata staili yake yabuimbaji imebadilika sana, lakini pia siwezi kumnyooshea kidole kwani nami sio msafi kivile
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Yule dada yangu Mbungu kipindi like tulikuwa tunatafsir mawasiliano yake uliyo dukua bado yupo,mpe hai dada yanguTupe 1 & 2 changamoto yao hasa iko wapi? Maana nataka niingie huko!
Ushawahi umizwa!Kuna maumivu mengi sana kwenye ndoa... Usipoishi kwa kiapo usipokishikilia kwa nguvu unaishia njiani hufiki
Jr[emoji769]
Hahah yupo mkuu, ataenda wapiMkuu Yule dada yangu Mbungu kipindi like tulikuwa tunatafsir mawasiliano yake uliyo dukua bado yupo,mpe hai dada yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha endelea kula mema ya kanda za juu kusini mkuuHahah yupo mkuu, ataenda wapi
😁😁😁😁😁😁😁 duh
Kuna wakati huyo Martha alikuwa akiwashangaa wanawake waloolewa kuwa kinachosababisha migogoro ya ndoa nyingi ni sababu wanawake waloolewa hawawatii waume zao!
Akajinadi kuwa yeye anajua kutii na kujua vizuri kumhudumia mume!
Sasa kulikoni tena?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe nimeshangaa eti Shusho? Nilishaacha siku nyingi kusikiliza nyimbo zake hata sielewi anaimba nini siku hizi
We ndo lusekelo sio kwa kulia hivyoAcha majungu kaa kimya. Huyo Mchungaji John Said aliyemuoa Martha ni malaya wa kutupwa. Hata Martha mwenyewe alikuwa na mchumba wake anaitwa Lusekelo anakaa Tabata Kimanga, Mchungaji alimpora Lusekelo kisha akamuoa yeye. Sasa ni wakati wa Martha kurudi kwa mchumba wake wa ujana Lusekelo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nae Bomu tu sema kaazeeka kakitulizaBinafsi nimevutiwa na Christina Shusho, asiachane tu na mumewe coz katika waimbaji wote namsikiliza yeye tu!!!!
Nyie ndio mmeniamsha usingizini, kweli kuona pepo ni kazi kuliko kazi zote!!!Mimi mwenyewe nimeshangaa eti Shusho? Nilishaacha siku nyingi kusikiliza nyimbo zake hata sielewi anaimba nini siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ndio mboga tamu kwa sisi wazee, usimuite mzee tena[emoji39][emoji39][emoji39]
Nyie ndio mmeniamsha usingizini, kweli kuona pepo ni kazi kuliko kazi zote!!!
Hahah sawa mkuu
Poa ndugu yangu, za kwako?Wa Kirima, za Siku nyingi
nyimbo zake siku hizi hazieleweki kabisa, ule uwepo hakuna tena!!amekazana kutoa nyimbo kila mwezi ila wapi''Mimi mwenyewe nimeshangaa eti Shusho? Nilishaacha siku nyingi kusikiliza nyimbo zake hata sielewi anaimba nini siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimopitia ww ndo kuna shida kuna kabila gani ukioa hamna kuachana?Wanawake wa kinyakyusa ni changamoto sana aisee wengi wao hawajielewi haswaa linapokuja suala la kutimiza majukumu yao ya kindoa mi mwenyew ni mhanga wa hao watu.
Sent using Jamii Forums mobile app