Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #61
Bora lawama kuliko.......Ndio maana hatupendi kupost kupost watoto wetu.
Tuwaachie wamama wapost
Nimekuelewa.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora lawama kuliko.......Ndio maana hatupendi kupost kupost watoto wetu.
Tuwaachie wamama wapost
Mungu hausiki na tamaa zako.Haya Maisha Ni Kumtegemea Mungu tuu... Uadilifu Miaka hii umeshuka Sana... Bila Ndoa kusimamiwa na kuongozwa na Mungu Mwenyewe ndugu zangu Ni kilio kikubwa Sana... Tukumbuke pia Uzinzi Ni kosa Kuu..
wewe una mpango wa kuoa?Mungu hausiki na tamaa zako.
Ye alishamalizaga Kazi yake kwa kukupa utashi, akili na maarifaa.
Kazi ILIYOBAKI ni YAKO.
Baada ya kufanya yote na siku ya 7 alipumzika.
#YNWA
Kwakuwa hayajakukuta ni rahisi kuongea kama unavyoongeaBinadamu sote ni ndugu; kama alimchukua binti wa watu asiyehusiana naye moja kwa moja akawa mkewe, wakaishi pamoja kama mtu na mzazi mwenzie, kamwe hawezi kushindwa kuwahudumia na kuwapenda malaika hawa watatu. Tumieni akili na busara ili ulimwengu uendelee kuvizawadia vizazi vyenu tunu itokanayo na maamuzi yenu mema. Kitu chochote kisichokuua, kitakuimarisha japo kinaweza kuwa complicated situation.
As if huyo bimtu aliwapata hao malaika wengine watatu by mystical diffusion, siyo!???WANAWAKE wako very fake
Haha hahaha hahahAs if huyo bimtu aliwapata hao malaika wengine watatu by mystical diffusion
You must allow your brain's intellectual capacity to control your entire body; hapo utakuwa kiroho safi. Put yourself in the whole situation ama scenario, siyo kujiegemeza sympathetically kwa baba tu, ndipo utaelewa.Kwakuwa hayajakukuta ni rahisi kuongea kama unavyoongea
Tunaweza kumlaumu saaana huyu mama watoto, but I am poised to believe kwamba kama mazingira yote yangewekwa hadharani, bila shaka everybody, almost including jamaa hawa wawili -- hawa reckless babaz wawili, wangeungana woooote na sisi kuwalaumu jamaa hawahawa wawili. Ukinielewa basi hujalewa!Ila wanawake amechepuka akaona haitoshi akaamua kumletea watoto feki.. Alishindwa hata kidogo kumbania boss wake siku za hatar!
Yeah, hata mpwa kumbuka siyo damu yako. Halafu, nadhani, hayo ni malipo ya kwenda kujichepusha huko nje -- huko home [emoji536] your wife naye anajichepukia kwa mwingine. Ngoma droo, au siyo!??? Mwanaume hashiki ujauzito wa uchepukaji wake, lakini lazima alee mtoto wa mchepuko. Nadhani ndiyo mantiki ya uleeeee msamiati wa 50 / 50 hata bila kuwezeshwa tunaweza!!!Wanaume tunalea watoto wengi sio damu zetu