Ndoa ya miaka 24 yavunjika baada ya mume kutambua watoto watatu sio damu yake

Ndoa ya miaka 24 yavunjika baada ya mume kutambua watoto watatu sio damu yake

Mimi ilitokea kwa kaka yetu mtoto wa bamkubwa. Mtoto wake wa nne akiwa form four sijui walikosana nini mtoto akachukia akaropoka akasema baba ake ni mdosi Shirika fulani kubwa na ndio anagharamia miradi yote hapo home [emoji15] ndugu yetu karibia aanguke ndio akauliza mke akakataa lakini alivyobanwa akasema ukweli. Wako na watoto 6 ila huyo wa 4 sio wake. Ndugu yetu alikuwa hamjali sana mke wake ndio mke akadanganyika huko nje.
Ila leo hii watoto wote wamekuwa wakubwa ila huyu wa nje ndio mwenye hela kuliko wote na ndio amekuwa msaada sana kwa baba ake alimyelea mana ndugu yetu hakumfukuza leo hii hata tukiwa na shughuli za ukooo huyu kijana wa nje ndio mwepesi kuja na kuchangia na anajitoa sana kuliko hatavwale biologichal children. So for us wanafamilia huyu mtoto kwetu amekuwa faraja.
Hii ndiyo comment sasa!!!
 
Hivi kati yangu na wewe nani mjuaji!!??? Unakiri kujua nyendo za wanawake wote wanaofanya kazi maofisini!??? Poor boy!
Ok Rich boy ,nmekuomba u comment au we ndo mwenye uzi huu?.mbona una mihemko ya kukata tamaa ya maisha.Apa kila mtu na maoni yake ,thus why nmeandika wengi wao.And am not a boy
 
Ok Rich boy ,nmekuomba u comment au we ndo mwenye uzi huu?.mbona una mihemko ya kukata tamaa ya maisha.Apa kila mtu na maoni yake ,thus why nmeandika wengi wao.And am not a boy
Kwa hiyo nilichoandika mie siyo maoni, siyo!??? Unalipia huu uzi!??? Umealikwa!??? Mihemko uwe nayo wewe, visingizio univurumshie mie, is that even close to being fair!??? Punguza utoto, sawa!?? Otherwise utakosa GF.
 
Kwa hiyo nilichoandika mie siyo maoni, siyo!??? Unalipia huu uzi!??? Umealikwa!??? Mihemko uwe nayo wewe, visingizio univurumshie mie, is that even close to being fair!??? Punguza utoto, sawa!?? Otherwise utakosa GF.
Ha ha Aya umeshinda ,acha nikuache mkubwa
 
WANAWAKE wako very fake, nilipata mwanamke Twanga Pepeta, ana shepu, ana kiuno cha ukweli, yaani kama panga boi.
Nilipompeleka gheto baada ya kusumbuliwa miezi sita, wallah, ni Allah pekee ajuaye nilichokipata.
Kule dnasi alikiwa anakatika kichizi, mikatiko 219%
Nilipo mpeleka ghetto, kudadaki, mikatiko kama yote, Kama joto la Petersburg Urusi kipindi cha winter, -678°c.
Hamna kiuno, hata kujigeuza tu ukimgeuza hajiwezi, kawa mzito kuliko maiti.
Kwakuwa alikuwa anachezesha tako moja huku lingine limetulia. Nikaamua kuomba kijiboga, yerewiiiiii........ Nilikula nakoz za kufa mtu. Nakoz jumlisha makonyagi nikajikuta niamkia hospitali
Kumbe Yule demu alisomea uninja China, pale Twanga Pepeta alikuwa kwenye interview tu ya kazi
Mkuu unatufundisha nin watoto!!!!??
 
Kuna mmoja baada ya kukaa kwenye ndoa miaka miwili bila issue, alimuomba mume wake atafute house boy ili hata mume akiwa safarini mke asiogope kubaki nyumbani mwenyewe.

Miezi mitatu baada ya ajira ya house boy mke alianza kutema mate. Mume alifurahi mno. Na walibahatika kupata watoto nane.

Manama ali lobby mpaka house boy alipelekwa Veta na kupewa mtaji wa biashara baada ya mafunzo.
 
Ndo uzuri wa kuwa na birth mark ,ukoo wetu woote tunazaliwa na baka bega la kushoto.
Si wa kile si wakiume woote baka.
Hahahaa inamaaana unafikiri ile ndui ni ya ukoo wenu kumbe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahaa inamaaana unafikiri ile ndui ni ya ukoo wenu kumbe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninaposema tunazaliwa na kovu namaanisha kovu kama kuungua na moto halafu ukapona kunakuwa kumeiva sana hata kama mtu ni mweusi basi like kovu unaweza sema ana vitiligo .

Maajabu ni kuwa linatomea sehemu moja upande wa bega la kushoto kuelekea mgongoni na alama yake inafanana kwa wote. nikipata muda ntaweka picha hapa ili ujue namaanisha nini .

Ukoo wetu sisi huwa hatushikishiw mimba asilani , ni mtoto akizaliwa tu wazee wanacheki chao kisha ndiyo ifanywe sherehe sasa.
 
DNA ni mkombozi mkubwa kwa ME ule upuuzi wa mwaka 47 kitanda hakizai haramu sasa umebaki kuwa ni upuuzi tu. Machale yakikucheza talk to DNA ukiona hapa Nchini wanazingua hapo kwa jirani zetu Nairobi watakusaidia bila hiyana. The TRUTH will always set you free.
Ni mpaka uwe na uwezo huo, wanyonge wanakubali kufunika kombe mwanaharamu apite.
 
Yeah, hata mpwa kumbuka siyo damu yako. Halafu, nadhani, hayo ni malipo ya kwenda kujichepusha huko nje -- huko home [emoji536] your wife naye anajichepukia kwa mwingine. Ngoma droo, au siyo!??? Mwanaume hashiki ujauzito wa uchepukaji wake, lakini lazima alee mtoto wa mchepuko. Nadhani ndiyo mantiki ya uleeeee msamiati wa 50 / 50 hata bila kuwezeshwa tunaweza!!!
Tunaweza kwa akili kubwa si ya kuchepuka. Sisi huwa ni wavumilivu. Tunaweza kuweka 200 kila siku kwenye kibubu kwa mwaka mzima.
 
Kibubu kipi Best? Maana kuna vibubu vingine ndiyo vinaishia kuchunguzwa kwa DNA 😜😜
Tunaweza kwa akili kubwa si ya kuchepuka. Sisi huwa ni wavumilivu. Tunaweza kuweka 200 kila siku kwenye kibubu kwa mwaka mzima.
 
Nayeye wakati mke anabebeshwa mimba 3 naye alikuwa wapi? Au ndiyo wake kukenua tu mara nimechoka wengine wanamfanyia mke mazoezi, sasa hapo 24yrs ya ndoa + ya nyuma si atakuwa na 50? Kavunja ndoa anaenda kuoa binti mbichi, kama akiwa kijana damu inachemka kapigwa chenga 3 [emoji23][emoji23][emoji23], sasa jua linazama ataweza kweli? Angemwambia awapeleke hao watoto kwa Baba yao, pole yake!
Anaweza akampiga jamaa fine ndeeefu mno kwa muda na mali alizotumia alipwe na hapo jamaa hatakuwa na cha kufanya zaidi ya kutoa hizo pesa.
 
Wanawake wanawake wanawake hivi viumbe ni hatari sana. Watoto watatu miaka 24 mke wa ndoa unazaa nje ya ndoa aisee. Usije kumuamini hata siku moja mwanake. Huyo jamaa anatakiwa akafungue kesi mahakamani kudai fidia kutoka kwa bosi wa huyo mwanamtoka pabaya.
 
Wanawake wanawake wanawake hivi viumbe ni hatari sana. Watoto watatu miaka 24 mke wa ndoa unazaa nje ya ndoa aisee. Usije kumuamini hata siku moja mwanake. Huyo jamaa anatakiwa akafungue kesi mahakamani kudai fidia kutoka kwa bosi wa huyo mwanamtoka pabaya.
Ungefaa uende taratibu maana huyo mwanamke hakuruka peke yake, bali alirukishwa na mume unayemtetea.
 
Ungefaa uende taratibu maana huyo mwanamke hakuruka peke yake, bali alirukishwa na mume unayemtetea.
Shangaa hata wewe wakati kazaa na mwanaume mwenzao tena Mme wa mwanamke mwingine, ndiyo maana YESU aliwashushua asiye na dhambi awe wakwanza kumrushia jiwe huyu aliyefumaniwa maana alipelekwa pekeyake sasa sijui alifimaniwa na kuku au mbuzi!
 
Shangaa hata wewe wakati kazaa na mwanaume mwenzao tena Mme wa mwanamke mwingine, ndiyo maana YESU aliwashushua asiye na dhambi awe wakwanza kumrushia jiwe huyu aliyefumaniwa maana alipelekwa pekeyake sasa sijui alifimaniwa na kuku au mbuzi!
Haya mambo yanatokea na kweli uamuzi wake ni mgumu. Kikubwa hapa ni uvumilivu wa mhusika, tamaduni za mhusika, na mtazamo mzima wa mwanaume mhusika. Hili jambo ni kubwa na linataka kutafakariwa kabla ya uamuzi. Ila kama ni mimi, cha kwanza ni kumuacha mwanamke huyu aliyenidhalalisha. Watoto hawana makosa. Watoto hawachagui mzazi. Kwa vile hao watoto wakubwa amewalea kwa miaka yote, nafikiri itakuwa vizuri atakapochukuwa uamuzi kuhusu mke wake awape nafasi hao watoto. Kwanza ni wakubwa, hiyo fedheha ya kuwa waliyemdhania ni baba kumbe siye ni kubwa. Baba itabidi aendelee kuwa nao uhusiano mzuri, kwa sababu ndiyiye baba wanaemjuwa.

Lakini inawezekana mwanamke ni limbwekeni na anaweza kuweka sumu kwenye uhusiano wa hao watoto na ex wake. Watoto wataamuwa wenyewe wanataka nini. Wanataka kuwa na baba yao wa kambo ambaye walidhania ni baba yao mzazi au wataondoka na mama yao.
 
WANAWAKE wako very fake, nilipata mwanamke Twanga Pepeta, ana shepu, ana kiuno cha ukweli, yaani kama panga boi.
Nilipompeleka gheto baada ya kusumbuliwa miezi sita, wallah, ni Allah pekee ajuaye nilichokipata.
Kule dnasi alikiwa anakatika kichizi, mikatiko 219%
Nilipo mpeleka ghetto, kudadaki, mikatiko kama yote, Kama joto la Petersburg Urusi kipindi cha winter, -678°c.
Hamna kiuno, hata kujigeuza tu ukimgeuza hajiwezi, kawa mzito kuliko maiti.
Kwakuwa alikuwa anachezesha tako moja huku lingine limetulia. Nikaamua kuomba kijiboga, yerewiiiiii........ Nilikula nakoz za kufa mtu. Nakoz jumlisha makonyagi nikajikuta niamkia hospitali
Kumbe Yule demu alisomea uninja China, pale Twanga Pepeta alikuwa kwenye interview tu ya kazi
Umenikumbusha wimbo wa lulu diva - hauna maajabu.
 
Haya mambo yanatokea na kweli uamuzi wake ni mgumu. Kikubwa hapa ni uvumilivu wa mhusika, tamaduni za mhusika, na mtazamo mzima wa mwanaume mhusika. Hili jambo ni kubwa na linataka kutafakariwa kabla ya uamuzi. Ila kama ni mimi, cha kwanza ni kumuacha mwanamke huyu aliyenidhalalisha. Watoto hawana makosa. Watoto hawachagui mzazi. Kwa vile hao watoto wakubwa amewalea kwa miaka yote, nafikiri itakuwa vizuri atakapochukuwa uamuzi kuhusu mke wake awape nafasi hao watoto. Kwanza ni wakubwa, hiyo fedheha ya kuwa waliyemdhania ni baba kumbe siye ni kubwa. Baba itabidi aendelee kuwa nao uhusiano mzuri, kwa sababu ndiyiye baba wanaemjuwa.

Lakini inawezekana mwanamke ni limbwekeni na anaweza kuweka sumu kwenye uhusiano wa hao watoto na ex wake. Watoto wataamuwa wenyewe wanataka nini. Wanataka kuwa na baba yao wa kambo ambaye walidhania ni baba yao mzazi au wataondoka na mama yao.
Hakuna sababu ya msingi ya kumwacha mke. Jambo la msingi ni namna ya kuwahandle hawa watoto watatu, physically na psychologically. Mume anatakiwa ajue kuwa ndoa ina mambo mengi, na changamoto ndiyo hizi. Definition nyingine ya mwanaume ni stress handler -- hakuna kitu kinachoweza kumshinda kuhandle systematically & intelligently. Watoto wasiambiwe hadi waridhike kwamba umri unafaa. Mume na mke wafungue ukurasa mpya wa mahusiano mazuri ya kuaminiana na kushirikiana pamoja kama mtu & mzazi mwenzie.
 
Back
Top Bottom