Ndoa ya miaka 24 yavunjika baada ya mume kutambua watoto watatu sio damu yake

Sasa hao ni kizazi chake ?
 
You must allow your brain's intellectual capacity to control your entire body; hapo utakuwa kiroho safi. Put yourself in the whole situation ama scenario, siyo kujiegemeza sympathetically kwa baba tu, ndipo utaelewa.
Umeoa?
 
Ingekuwa mimi ndo huyo jamaa aaa wala sipaniki wala nini natia mimba watoto woote wa kike mbona easy tu ili sasa mke wako awe mama mkwe na mchepuko wake awe baba mkwe na mahari natoa.
 
Umeandika kirahisi kabisa mwenyewe.
 
Huyo jamaa muungwana sana,na Huyo mwanamke na wanae hao 3 wnabahati sana.kuna mambo mwanaume anaweza kuvumila lakini sio kumletea mtoto ambaye sio damu take.
Ndio maana huwa kuna wanawake ni maninja kwenye kuchepuka lakini wanajua dhambi pekee ambayo anaweza asisamehewe na mumeo au jamii ni kama atazaa nje ya ndoa yake.
 
Ndio maana waswahili huwa wanasema mjomba ni mama.
 
Nayeye wakati mke anabebeshwa mimba 3 naye alikuwa wapi? Au ndiyo wake kukenua tu mara nimechoka wengine wanamfanyia mke mazoezi, sasa hapo 24yrs ya ndoa + ya nyuma si atakuwa na 50? Kavunja ndoa anaenda kuoa binti mbichi, kama akiwa kijana damu inachemka kapigwa chenga 3 [emoji23][emoji23][emoji23], sasa jua linazama ataweza kweli? Angemwambia awapeleke hao watoto kwa Baba yao, pole yake!
 
Mmhh iyo inauma lakini ndo uhalisia huo...yan watoto watatu aisee ni wengi sana hao,alafu unaambiwa siyo wako na kbaya za ni wa bosi wa mke ,hakyanani kuna watu wanaroho nzuri sana,wengine tayari ungeshasikia mamaaaaaa nakufa jamani nisaidieniiiiiiii majirani....wengine ni watu wa hisia sana akikushika umekwisha ,wanaohusudu huu msemo hapo chini Nina wasiwasi nao. "Weak people revenge. Strong people forgive. Intelligent people ignore"
 
Kuna jamaa muingereza mzungu huyu alikuwa na watoto watatu wote wa ME na wa mwisho alikuwa teenager. Basi yeye alijua watoto wale ni wake wa ndoa.

Katika kufanya medical check up ya kila mwaka Dr akagundua ana ugonjwa ambao husababisha ME asiweze kupata watoto.

Dr akamtonya kuhusu alichokiona kuhusu ugonjwa ule na athari zake ikiwemo kutokuwa na uwezo wa kutia mimba. Jamaa akaanza kujitetea kwamba yeye ameoa na ana watoto watatu. Dr hakutaka ligi akajinyamazia.

Habari ile ya kwamba ugonjwa aliokuwa nao ni kutokuwa na uwezo wa kutia mimba ikamkosesha amani moyoni hadi akaamua kuutafuta ukweli kupitia DNA. Ndipo kuwasiliana na watoto wake ili wafanye DNA mmoja alikataa kwa kudai I don’t want to know anything about DNA I know where you’re going with this stupidity, you are my father and you’ll forever remain my biological father. Wale wawili waliopima majibu yakaja kwamba yule ME si Baba yao na wakamwambia wewe ni Baba yetu umetulea tangu tunazaliwa hadi tumekuwa watu wazima na umetufanyia mambo mengi sana. Hatumjui Baba mwingine zaidi yako.

 
Strong and intelligent people forgive
 
Hapa bongo ukiomba kupima DNA paternity test kupitia ustawi wa jamii au mahakama wanaweza kukuzingua.
Omba kupitia wakili yeyote anayetambulika.
Huko hakuna usumbufu.
 
Doktaz, doktaz, doktaz!!! Nimewaita mara ^tar-two^
 
Reactions: BAK
Mimi ilitokea kwa kaka yetu mtoto wa bamkubwa. Mtoto wake wa nne akiwa form four sijui walikosana nini mtoto akachukia akaropoka akasema baba ake ni mdosi Shirika fulani kubwa na ndio anagharamia miradi yote hapo home 😳 ndugu yetu karibia aanguke ndio akauliza mke akakataa lakini alivyobanwa akasema ukweli. Wako na watoto 6 ila huyo wa 4 sio wake. Ndugu yetu alikuwa hamjali sana mke wake ndio mke akadanganyika huko nje.
Ila leo hii watoto wote wamekuwa wakubwa ila huyu wa nje ndio mwenye hela kuliko wote na ndio amekuwa msaada sana kwa baba ake alimyelea mana ndugu yetu hakumfukuza leo hii hata tukiwa na shughuli za ukooo huyu kijana wa nje ndio mwepesi kuja na kuchangia na anajitoa sana kuliko hatavwale biologichal children. So for us wanafamilia huyu mtoto kwetu amekuwa faraja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…