The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Sasa hao ni kizazi chake ?Binadamu sote ni ndugu; kama alimchukua binti wa watu asiyehusiana naye moja kwa moja akawa mkewe, wakaishi pamoja kama mtu na mzazi mwenzie, kamwe hawezi kushindwa kuwahudumia na kuwapenda malaika hawa watatu. Tumieni akili na busara ili ulimwengu uendelee kuvizawadia vizazi vyenu tunu itokanayo na maamuzi yenu mema. Kitu chochote kisichokuua, kitakuimarisha japo kinaweza kuwa complicated situation.
Umeoa?You must allow your brain's intellectual capacity to control your entire body; hapo utakuwa kiroho safi. Put yourself in the whole situation ama scenario, siyo kujiegemeza sympathetically kwa baba tu, ndipo utaelewa.
Ingekuwa mimi ndo huyo jamaa aaa wala sipaniki wala nini natia mimba watoto woote wa kike mbona easy tu ili sasa mke wako awe mama mkwe na mchepuko wake awe baba mkwe na mahari natoa.Yeah, hata mpwa kumbuka siyo damu yako. Halafu, nadhani, hayo ni malipo ya kwenda kujichepusha huko nje -- huko home [emoji536] your wife naye anajichepukia kwa mwingine. Ngoma droo, au siyo!??? Mwanaume hashiki ujauzito wa uchepukaji wake, lakini lazima alee mtoto wa mchepuko. Nadhani ndiyo mantiki ya uleeeee msamiati wa 50 / 50 hata bila kuwezeshwa tunaweza!!!
Umeandika kirahisi kabisa mwenyewe.Binadamu sote ni ndugu; kama alimchukua binti wa watu asiyehusiana naye moja kwa moja akawa mkewe, wakaishi pamoja kama mtu na mzazi mwenzie, kamwe hawezi kushindwa kuwahudumia na kuwapenda malaika hawa watatu. Tumieni akili na busara ili ulimwengu uendelee kuvizawadia vizazi vyenu tunu itokanayo na maamuzi yenu mema. Kitu chochote kisichokuua, kitakuimarisha japo kinaweza kuwa complicated situation.
Aisee! DNA yenu iko nje. Basi inapaswa kuitwa ^Deoxyribo-Superfleic Acid^ -- DSA!!!Ndo uzuri wa kuwa na birth mark ,ukoo wetu woote tunazaliwa na baka bega la kushoto.
Si wa kile si wakiume woote baka.
Unaruhusiwa kuota ndoto nyingi kadiri uwezavyo, since huzilipiiWanawake wazur walioajiliwa asilimia kubwa inakuwa chakula ya boss
Strong and intelligent people forgiveMmhh iyo inauma lakini ndo uhalisia huo...yan watoto watatu aisee ni wengi sana hao,alafu unaambiwa siyo wako na kbaya za ni wa bosi wa mke ,hakyanani kuna watu wanaroho nzuri sana,wengine tayari ungeshasikia mamaaaaaa nakufa jamani nisaidieniiiiiiii majirani....wengine ni watu wa hisia sana akikushika umekwisha ,wanaohusudu huu msemo hapo chini Nina wasiwasi nao. "Weak people revenge. Strong people forgive. Intelligent people ignore"
Hapa bongo ukiomba kupima DNA paternity test kupitia ustawi wa jamii au mahakama wanaweza kukuzingua.DNA ni mkombozi mkubwa kwa ME ule upuuzi wa mwaka 47 kitanda hakizai haramu sasa umebaki kuwa ni upuuzi tu. Machale yakikucheza talk to DNA ukiona hapa Nchini wanazingua hapo kwa jirani zetu Nairobi watakusaidia bila hiyana. The TRUTH will always set you free.
Doktaz, doktaz, doktaz!!! Nimewaita mara ^tar-two^Kuna jamaa muingereza mzungu huyu alikuwa ba watoto watatu wote wa ME na wa mwisho alikuwa teenager. Basi yeye alijua watoto wale ni wake wa ndoa.
Katika kufanya medical check up ya kila mwaka Dr akagundua ana ugonjwa ambao husababisha ME asiweze kupata watoto.
Dr akamtonya kuhusu alichokiona kuhusu ugonjwa ule na athari zake ikiwemo kutokuwa na uwezo wa kutia mimba. Jamaa akaanza kujitetea kwamba yeye ameoa na ana watoto watatu. Dr hakutaka ligi akajinyamazia.
Habari ile ya kwamba ugonjwa aliokuwa nao ni kutokuwa na uwezo wa kutia mimba ikamkosesha amani moyoni hadi akaamua kuutafuta ukweli kupitia DNA. Ndipo kuwasiliana na watoto wake ili wafanye DNA mmoja alikataa kwa kudai I don’t want to know anything about DNA I know where you’re going with this stupidity, you are my father and you’ll forever remain my biological father. Wale wawili waliopima majibu yakaja kwamba yule ME si Baba yao na wakamwambia wewe ni Baba yetu umetulea tangu tunazaliwa hadi tumekuwa watu wazima na umetufanyia mambo mengi sana. Hatumjui Baba mwingine zaidi yako.
British man learns he's not the biological father of his three sons
When Richard Mason’s doctor informed him in 2016 that he had cystic fibrosis, he also noted that his patient was unable since birth to have biological children because of the condition.www.foxnews.com
Punguza ujuaji mkuu,ndoto zinakujaje apoUnaruhusiwa kuota ndoto nyingi kadiri uwezavyo, since huzipii
Hivi kati yangu na wewe nani mjuaji!!??? Unakiri kujua nyendo za wanawake wote wanaofanya kazi maofisini!??? Poor boy!Punguza ujuaji mkuu,ndoto zinakujaje apo