pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Hivi kuna ndoa ndani ya ndoa nyingine kweli?Uyo kama alitumbuliwa magereza kwa vyeti feki basi aliyemsupport alikuwa hayati Mrema.
Habari za vyeti si hoja kwani aliishi na Hayati Mrema kama mke wa ndoa na huenda ni mchepuko wake kwa miaka mingi.
Mbona unachanganya ndugu yang, kwani mlalamikaji ni Mange Kimambi au mumewe?
Kama umepokea hii copy ya cheti cha ndoa kutoka kwa Mange Kimambi basi ukubali tu kwamb umepigwa kitu kizito kichwani.
Hivi vyeti feki siku hizi vinatengenezwa kwa malengo maalumu. Kwahiyo wewe usichukulie kama fact kitu ulichotumiwa na Kimambi maana yeye sio muhusika wa ndoa na wala hakuwepo kwenye ndoa.
Watu siku hizi wana uwezo wa ku copy mpaka muhuri na saini ya raisi wa Marekani ije kuwa cheti ambacho kinaweza tengenezwa kwa dakika 15 tu.
Kwa ambaye hajui taratibu za Kanisa Katoliki kuhusu mambo ya ndoa ndio anaweza akakubaliana na ulichoandika. Lakini, kwa mimi niliyefunga ndoa katika Kanisa Katoliki Parokia ya St. Justine, Bujora, Kisesa, Magu, Mwanza ninajua kuhusu mfumo thabiti wa kusajili ndoa kabla ya kufunga ndoa. Kama kuna ujanjaujanja basi ni kwenye Makanisa mengine, lakini Kanisa Moja Katoliki la Mitume hakuna kitu kama hicho. Muulize Spika Mstaafu Mzee Pius Msekwa kama alifunga ndoa na Anna Abdallah baada ya kufanya ujanjaujanja!Mnakumbuka story ya Raia Mwema
- Lyatonga Mrema adaiwa kupora mke wa mtu
Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.
Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA
Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.
Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa.
View attachment 2359092
Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.
In summary Doreen
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.
- Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
- Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
- Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
- Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.
View attachment 2359097View attachment 2359101
Kwahiyo alijiowa mwenyewe mbona haionekani picha ya bwana harusi.View attachment 2361939
Ndoa ya kwanza ya doreen
Huyu Doreen ni kweli aana ndoa na bwana Fred anaefanya DAWASA na ndoa yao haikuwahi kuvunjwa hadi anaolewa na Mrema. Wana mtoto mmoja wa Kike.
Huyu Bwana ni mpole sana na asiyependa kuongea mambo ya ndoa hii anaishi Mbezi Makabe.
Wathaminiwe kwa kulipwa mshahara siyo urithi, mke wa mtu mumewe yupo hai hawezi kurithi kwa mume asiye wake kihalali kisheria, ndoa yake ni batili haramu kisheria non existing.Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie
Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan