Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Cheti cha huyo tapeli na Mrema nimekuwekea hapo. Dada Mange alikiposti.

Embu soma kwa sauti hata jirani akusikie.

Na kwa kuwa unapenda facts hebu tuonyeshe hicho chako unachosema alitumia Doreen Kimbi.
Mbona unachanganya ndugu yang, kwani mlalamikaji ni Mange Kimambi au mumewe?
Kama umepokea hii copy ya cheti cha ndoa kutoka kwa Mange Kimambi basi ukubali tu kwamb umepigwa kitu kizito kichwani.
Hivi vyeti feki siku hizi vinatengenezwa kwa malengo maalumu. Kwahiyo wewe usichukulie kama fact kitu ulichotumiwa na Kimambi maana yeye sio muhusika wa ndoa na wala hakuwepo kwenye ndoa.

Watu siku hizi wana uwezo wa ku copy mpaka muhuri na saini ya raisi wa Marekani ije kuwa cheti ambacho kinaweza tengenezwa kwa dakika 15 tu.
 
Cheti cha huyo tapeli na Mrema nimekuwekea hapo. Dada Mange alikiposti.

Embu soma kwa sauti hata jirani akusikie.

Na kwa kuwa unapenda facts hebu tuonyeshe hicho chako unachosema alitumia Doreen Kimbi.
Sina cheti ila nimekuwekea video kabisa ya kwenye ndoa.
 
Mbona unachanganya ndugu yang, kwani mlalamikaji ni Mange Kimambi au mumewe?
Kama umepokea hii copy ya cheti cha ndoa kutoka kwa Mange Kimambi basi ukubali tu kwamb umepigwa kitu kizito kichwani.
Hivi vyeti feki siku hizi vinatengenezwa kwa malengo maalumu. Kwahiyo wewe usichukulie kama fact kitu ulichotumiwa na Kimambi maana yeye sio muhusika wa ndoa na wala hakuwepo kwenye ndoa.

Watu siku hizi wana uwezo wa ku copy mpaka muhuri na saini ya raisi wa Marekani ije kuwa cheti ambacho kinaweza tengenezwa kwa dakika 15 tu.
Ndugu kujidhibitishia kama sio feki chukua hiyo number ya cheti nenda RITA ukahakiki.
 
Sina cheti ila nimekuwekea video kabisa ya kwenye ndoa.
Video inasema jina alilo andikisha kwenye ndoa au kutangaza ndoa kanisani?

Napata wasiwasi na uwezo wako wa kufikiria na kuchakanyua vitu.
 
Video inasema jina alilo andikisha kwenye ndoa au kutangaza ndoa kanisani?

Napata wasiwasi na uwezo wako wa kufikiria na kuchakanyua vitu.
Basi mkuu, acha tuishie hapa. Wewe amini unachoamini kwenye hili sakata, na mimi niamini ninachoamini kwenye hili sakata.
 
Yote hii ni kwa ajili ya pesa na mali. Lakini pia kuna uwezekano huyo Doris/Doreen na mume wa awali wamekubaliana kumtapeli mzee Mrema na mali zake. Haiwezekani mke wangu aolewe, hata kwa majina bandia mimi nikae kimya, huenda hiyo game ni planned....hii ni kama hadithi sio uongo njoo utam kolea!
 
Yote hii ni kwa ajili ya pesa na mali. Lakini pia kuna uwezekano huyo Doris/Doreen na mume wa awali wamekubaliana kumtapeli mzee Mrema na mali zake. Haiwezekani mke wangu aolewe, hata kwa majina bandia mimi nikae kimya, huenda hiyo game ni planned....hii ni kama hadithi sio uongo njoo utam kolea!
Lakini hapo mkuu kuna ukweli kabisa na ulichosema Yaani Kwa jinsi walivyotangaza kuwa mrema kaoa mume wake hajaona Kweli habari hii? Lazima itakuwa wamepnga tuu au kuna njama zilikuwa zinaendelea,
Haya ni maoni yangu tuu
 
Yote hii ni kwa ajili ya pesa na mali. Lakini pia kuna uwezekano huyo Doris/Doreen na mume wa awali wamekubaliana kumtapeli mzee Mrema na mali zake. Haiwezekani mke wangu aolewe, hata kwa majina bandia mimi nikae kimya, huenda hiyo game ni planned....hii ni kama hadithi sio uongo njoo utam kolea!
Namtetea Mushi maana kumbuka Doreen amekuja kujulikana ndie mwenye kuolewa maada ya ndoa.

Majina kanisani na kwenye cheti kilikuwa cha uongo.

Bibi harusi aliakikisha kajificha balaa, kanisani kaingia kajifunika kanga, ilipotolewa kanga akawa kavaa wigi na miwani mikubwa.

Sasa jiulize hii yote ilikuwa ya nini? Kama Mume halali anajua
 
Kama mtu kaamua kukuacha na akamua kwenda kuolewa na mwingine utatumia Sheria kumlazimisha asikuache?
Samahani kukuuliza. Una elimu kiasi gani?

Na pia una elimu au ufahamu wa mikataba ya kisheria? Maana inaonyesha huelewi ndoa ni mkataba wa kisheria pia wa Kidini.

Na ndio maana dini zote na mila zote zina process ya kuvunja hiyo mikataba ili both parties waweze kuingia kwenye mikataba mipya.

Nafikiri ni vizuri ukajielemisha hivi vitu ukavielewa.

Kwa kifupi, Doreen bado ni mke halali wa Mushi mpaka pale ndoa itakapo vunjwa kisheria na kidini.

Jiongeze kuelewa sheria na dini yako
 
Sasa wewe ndio unaongea pumba zenye PHD. Rai Mwema waliongea na huyo mume wake na akakubali kuwa Doreen bado ni mke wake. Tafuta hiyo nakala.

Swali la msingi kujiuliza Doreen ni kweli aliolewa au hakuolewa. naskia kesi inafunguliwa. Mahakama itachekecha pumba zote za mitandaoni.

So tulia kidogo na porojo zako
Kwa hiyo Raia mwema kwako ndio kila kitu ! Kweli maajabu hayaishi duniani
 
Huwa tunasema siku zote wachagga ni shida. Ona sasa kila kesi kugombea mirathi !
 
Namtetea Mushi maana kumbuka Doreen amekuja kujulikana ndie mwenye kuolewa maada ya ndoa.

Majina kanisani na kwenye cheti kilikuwa cha uongo.

Bibi harusi aliakikisha kajificha balaa, kanisani kaingia kajifunika kanga, ilipotolewa kanga akawa kavaa wigi na miwani mikubwa.

Sasa jiulize hii yote ilikuwa ya nini? Kama Mume halali anajua
Baada ya kujua mkewe ameolewa huku ndoa yao haijabatilishwa, yeye bwana Mushi alichukua hatua gani za kisheria?
 
Baada ya kujua mkewe ameolewa huku ndoa yao haijabatilishwa, yeye bwana Mushi alichukua hatua gani za kisheria?
Yaani ata kama mume halali alikuwa part of it, atakaye kuwa na issue za kisheria hapa ni mwanamke.

Kuna fundisho kubwa sana kwa wadada wa mjini kutokana na hili
 
Yaani ata kama mume halali alikuwa part of it, atakaye kuwa na issue za kisheria hapa ni mwanamke.

Kuna fundisho kubwa sana kwa wadada wa mjini kutokana na hili
Mushi na Doris/Doreen ni gudulia na mfuniko. Huwezi kukubali kuuza mke kisa pesa na mali.
 
Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA
Ina maana Huyo Mushi hana ndugu marafiki au majirani ambao wangemwambia mkewe anaolewa kwa mara ya pili kama yeye hakusikia?
 
Huyu Doreen ni kweli aana ndoa na bwana Fred anaefanya DAWASA na ndoa yao haikuwahi kuvunjwa hadi anaolewa na Mrema. Wana mtoto mmoja wa Kike.
Huyu Bwana ni mpole sana na asiyependa kuongea mambo ya ndoa hii anaishi Mbezi Makabe.
 
Back
Top Bottom