Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Mnakumbuka story ya Raia Mwema

- Lyatonga Mrema adaiwa kupora mke wa mtu

Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.

Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA

Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.

Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa.

View attachment 2359092

Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.

In summary Doreen
  • Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
  • Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
  • Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
  • Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.

Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.


View attachment 2359097View attachment 2359101
Unapata ujasiri gani kutaka kudhulumu MJANE pesa zake? Huyo mke halali wa babayenu, ni mama yenu. Mpuuzi sana we kijana wa Mrema.
 
Majasho nyie legeeni muone mtavopelekwa puta...

Nikiwa kama shost wa dorin nasema hiviiiiii mnamuonea mwacheni apewe chake alimuogesha m'me wake, alimfanya atabasam kwa muda alikuwa nae. alilala nae, alimtoa upweke na kadhalika,

Nikiwa kama mtoto wa mrema au mtu yeyote niliyewahi kuumizwa na jambo kama hilo kutokea kwenye familia yetu nasema hiviiii huyo dada ni opportunistic na hakuwa anamaanisha chochote chema kuwa na Mzee Mrema.
 
Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie

Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan
Wewe Mbuzi siku 151 ndio apewe Nyumba Salasala au alistahili kifuta machozi cha 1.5 aondoke
 
Ungeweka picha ya huyo Doreen Kimbi ingesaidia zaidi. Na mwisho wa siku kilichomuhimu ni kuwa alimtunza mume wako mpaka umauti ulipomkuta.

Kama mna ushahidi kuwa alikuwa anamtesa mngempeleka mahakamani wakati mume wake yuko hai.

Amandla...
Utakuwa fundi wa ile Miwani ya Doreen wewe
 
Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie

Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan
kwahyo kifo cha mzee ahusishwe au aachwe?
 
Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie

Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan
  • Ana kosa la kujipatia mali kwa njia batili.
  • Janjajanga ya mataoeli wa mujini inabidi kujulikana.
  • Wanaume tunasakwa kwa hali na mali, na tuna kazi ngumu ya kulinda mali kuliko tunavyodhani.
 
Ile haria wameishaiweka matairi.
.
. Mjane kwa miezi mtano wapige mahesabu wampe ujira wake toka ndoa ilipofungwa.
.

.
 
Ile haria wameishaiweka matairi.
.
. Mjane kwa miezi mtano wapige mahesabu wampe ujira wake toka ndoa ilipofungwa.
.

.
Inasemekana kwenye kikao cha ukoo baada ya mazishi watoto wa Mrema walimpa kiwanja kigamboni (thamani kama milion 70), pesa tasilimu mil 50 na wakahaidi watamnunulia gari jipya lingine.

LAKINI mjane wenu alikataa anataka zaidi
 
Unapata ujasiri gani kutaka kudhulumu MJANE pesa zake? Huyo mke halali wa babayenu, ni mama yenu. Mpuuzi sana we kijana wa Mrema.
Acha upuuzi wewe.

Mimi sio kijana wa Mrema acheni kusingizia watu.

Sasa kwa habari zilizopo na mwambie Doreen azikanushe

Inasemekana kwenye kikao cha ukoo baada ya mazishi watoto wa Mrema walimpa kiwanja kigamboni (thamani kama milion 70), pesa tasilimu mil 50 na wakahaidi watamnunulia gari jipya lingine.

LAKINI mjane wenu alikataa anataka.

Hivi kwa siku 150 za ndoa nani anapata vitu vyote hivyo. Ebu tuambie
 
Acha upuuzi wewe.

Mimi sio kijana wa Mrema acheni kusingizia watu.

Sasa kwa habari zilizopo na mwambie Doreen azikanushe

Inasemekana kwenye kikao cha ukoo baada ya mazishi watoto wa Mrema walimpa kiwanja kigamboni (thamani kama milion 70), pesa tasilimu mil 50 na wakahaidi watamnunulia gari jipya lingine.

LAKINI mjane wenu alikataa anataka.

Hivi kwa siku 150 za ndoa nani anapata vitu vyote hivyo. Ebu tuambie
Wewe haya yote umeyajuaje kama siyo sehemu ya parties kwenye huu mgogoro?

Na kama ni parties, malalamiko haya ni very serious,je, ni sahihi kuyajengea hoja jamii forum badala ya kifamilia, kikanisa, au mahakamani?

Mwisho wa siku, nawaombea mgogoro uishe kwa amani, na busara iwaongoze.
 
Wewe haya yote umeyajuaje kama siyo sehemu ya parties kwenye huu mgogoro?

Na kama ni parties, malalamiko haya ni very serious,je, ni sahihi kuyajengea hoja jamii forum badala ya kifamilia, kikanisa, au mahakamani?

Mwisho wa siku, nawaombea mgogoro uishe kwa amani, na busara iwaongoze.
Waandishi wa habari wanajuaje kuhusu habari mbalimbali kila kona ya nchi?

Kuforge documents za ndoa ni kitu kikubwa sana sana mkuu.

Na hapa ndipo nimekuwa nasema kama haya sio ya kweli Doreen ajitokeze awaambie watanzania.

Kumbuka Doreen alimzika tu Mrema akatokea kwenye media akitangaza anapokea watoto wa Marehemu (mkuu ulishawahi sikia hii kitu sehemu yoyote )

Sasa kwanini asije kukanusha haja ya sasa hivi kama ni ya uongo. Tangu lini Doreen is shy of media? Kumbuka alita waandishi wa habari kueleza jinsi anavyotosholezwa na Mrema.. dah

Kiufupi ndugu.. nendeni tabata kimanga mtaambiwa Doreen ni mke halali wa nani.

Au tafuteni wachaga wa kibosho muwaulize.
 
Mambo yanazidi kupamba moto. Angekuwa aliolewa na kapuku tusinge kuwa tunashuhudia haya yote. Popote kwenye mali udhia haukosekani
 
Wachagga njaa itawaua kila sehemu mwendo wa kugombea mali. Vipi kesi ya Mrema wa Arusha inaendeleaje ?
 
Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie

Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan
Basi sawa, Kama alipwe mshahara wa kumtawaza Mrema lakini siyo kurithi Mali ya Mrema.
 
Back
Top Bottom