Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Hilo kabila utapeli kawaida kwa vile wote kabila moja waache wagombane..simple and clear mnataka kutompa hata sh mia huyo mwanamke ila kama kaja kwa mission ntasumbuana hapo kama jack kwa mengi.

Mtu aliyekufa hazungumziwi Tena mmebaki kugombea Mali kwa kweli hamna utu kabisa bado mapema mno..
 
Wewe ni nani kwenye familiya ya marehemu? So marehemu hakuyajuwa haya yote?
Nyinyi mnaoteseka ndo mmefoji hayo ma barua, muoaji ashafariki wenda alijua zaidi yako lakini akamuoa basi mmebaki mnateseka anyway!
Mali ndo zinawatesa tafuteni za kwenu ukite wewe hata sio member of the family 🤣
Hivi kama Doreen alimpenda sana Mrema kwanini hakufanya the right thing.

Atafute divorce alafu aolewe ki halali. Alikuwa na haraka gani?

Ukishajibu hilo swali kichwani kwako then uje utujulishe pia.
 
Sheria inatambua vipi mke/mjane halali?

Na je bwana Fredrick Mushi akifa pia Doreen atakuwa mjane?
Mushi umemuandika wewe kwenye hicho kikaratasi ambacho Wala siyo cheti cha ndoa. Cheti cha ndoa hutolewa na serikali ya jamhuri wa n
 
Mushi umemuandika wewe kwenye hicho kikaratasi ambacho Wala siyo cheti cha ndoa. Cheti cha ndoa hutolewa na serikali ya jamhuri wa n
Wewe Doreen utaangaika sana kuleta watu wakukutetea ila ukweli utajulikana mahakamani.

Tena ungekuwa na akili ungejiuliza information mpaka za immigration zinatoka wapi.

Unajua malipo ni hapa hapa duniani?

Alafu nikusaidie nenda RITA na hiyo registration number ya cheti utajionea maajabu.


Njia ya jizi fupi sana
 
Watu wanaolewa mara 5 ndo wanabahatika ndoa salama yeye anashangaa kuwahi kuolewa mara Moja.😳ndo wanaokufa vibaya Kwa mioyo Yao ya kwann
Tatizo kwanini adanganye? Yaani anadanganya mpaka kanisa Katoliki

Kweli shoga yenu akili hana na bahati hana. Immigration wamemshika, kwa mrema wamemshika sasa sijui nani ni next victim lol
 
Mtu kaolewa huko nyuma wakashindwana bado ni mke wa mtu tu kisa hawajatengana mahakamani???? Hapana hii sio sawa umeoa mtu mmeshindwana mnaachana ndoa sio vita.isije mkaja kuuana bure kisa tu mpaka kifo kiwatenganishe.muacheni doris wa watu mpeni hiyo mirathi.mbona kipindi mrema yupo hai hamkusema kama ni mke wa mtu mwingine.Acheni tamaaa familia ya marehemu
Hapati kitu imekula kwake. Alishindwa nini kuomba talaka ?Na inaonekana ni mchepuko wa Mrema tokea siku nyingi. Hapa hapati hata kijiko.
 
Ehh sasa si umuombe Doreen aje kukanusha hizi report. Shida iko wapi anapenda media na anajua kuzitumia

Aseme alitangaza ndoa wapi, jina lipi na cheti chake cha ndoa jina linasomekaje.

Ndugu hizi ni shustuma nzito sana na ni pia criminal offence.
Aje kujibu umbea? Kama unaona hizo shutuma ni nzito na ni criminal offense mahali pake ni mahakamani na sio kwenye Jukwaa la Siasa. Hautafuti haki bali unataka kumchafua tu huyo Doreen. Ingekuwa ni haki unatafuta usingejificha nyuma ya jina bandia. Ungeweka jina lako na sura yako humu na kwenye media nyingine ungeaminika zaidi.

Umechagua njia ya coward na nyoka kumwaga sumu dhidi ya mtu usiempenda. Sitashangaa kama wewe sio mtu wa karibu wa huyo Doreen maana umetuambia mlikuwa mnashinda wote Moshi! Wewe sio mtu mzuri kabisa.

Amandla...
 
Wewe Doreen utaangaika sana kuleta watu wakukutetea ila ukweli utajulikana mahakamani.

Tena ungekuwa na akili ungejiuliza information mpaka za immigration zinatoka wapi.

Unajua malipo ni hapa hapa duniani?

Alafu nikusaidie nenda RITA na hiyo registration number ya cheti utajionea maajabu.


Njia ya jizi fupi sana
Unapaswa kuelewa authenticity ya jambo hupatikana mahakamani, halafu haya mambo kwa uelewa wangu, ni too private sana, na hakuna mtu anaweza kuyajua pasipo kuwa insider- Declaration of interest ni muhimu sana.
 
Kesi hii iende mahakamani hapa hakuna suluhu utakayopata.. alafu nashangaa kipindi chote hicho wewe ulikua wapi hadi leo ndio unanyanyuka kuanza kubwatuka? Acha ulafi wa kijinga ungepinga kipindi kile kile anataka kuolewa ungeonekana bonge la genius unapinga sasa mda ushaenda unaonekana zuzu mlafi... Nenda mahakamani ukajielezee au nenda kanisani na huyu Mushi wa mchongo yaan ndoa hadi inafungwa kuna time interval ya kuweka pingamizi almost mwezi na zaidi wewe unakuja kuweka pingamizi sasa hivi na evidence zako uchwara nani atakuelewa?
 
Bila shaka wewe ni mtoto wa mke wa kwanza wa mrema.

Ehee mmepanga kumfanyaje huyo mjane?
Hapa kuna maswali mengi sana ya msingi.

Hiyo document yenye mwandiko wa mkono ameitoa wapi?

Document yenye mwandiko wa mkono ilipaswa kuandikwa kabla ya ndoa, sasa kama iliandikwa kabla ya ndoa, namba ya ndoa na Padre specific atakayeifungisha hiyo ndoa walijuaje?

Kanisa Katoliki lina fomu maalumu ya kujaza taarifa maalumu za watarajiwa wa ndoa, ikwapi?

Kwann majina ya padre yanatofautiana?, ina maanisha aliyeiandika hama uhakika na majina halisi ya padre licha ya uzoefu?

Lengo ni nini hasa?
 
Hapa kuna maswali mengi sana ya msingi.

Hiyo document yenye mwandiko wa mkono ameitoa wapi?

Document yenye mwandiko wa mkono ilipaswa kuandikwa kabla ya ndoa, sasa kama iliandikwa kabla ya ndoa, namba ya ndoa na Padre specific atakayeifungisha hiyo ndoa walijuaje?

Kanisa Katoliki lina fomu maalumu ya kujaza taarifa maalumu za watarajiwa wa ndoa, ikwapi?

Kwann majina ya padre yanatofautiana?, ina maanisha aliyeiandika hama uhakika na majina halisi ya padre licha ya uzoefu?

Lengo ni nini hasa?
Njaa mzigo..
 
Mke anaonekana ana tamaa ila ndugu hawaonekani kuwa na tamaa!! Maajabu haya.
Mbona hamkuzuia ndoa isifungwe?
 
Back
Top Bottom