Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Kama alijitokeza ni kwanini hatukuwahi kusikia, kuona wala kusoma taarifa zake kama tunavyozisikia, na kuzisoma leo baada ya Mrema kufariki?

Watanzania sio wajinga, mbumbumbu au watoto wadogo kama mnavyofikiria, mkileta thread au taarifa za aina hii mjiandae na majibu yanayoeleweka. Sio mimi nikuulize swali na wewe uniulize swali, badala ya kujibu kwanza swali.
This is nonsense.
Gazeti la Raia mwema ndilo lilie anzisha huu mjadala Doreen ni mke wa mtu.

Fredrick Mushi alithitisha Doreen ni mke wake kwenye hilo gazeti (kalitafute online)

Mtabishana mpaka Kiama ila mwisho wa siku ukweli utajulikana, mahakama na kanisa itachekesha pumba na mchele. Na mengi yatajulikana maana mahakamani ni open court

Hii issue iwe fundisho, utapeli sio tija, fanyeni kazi. Na unawezaje kuwa mjinga kwenda kutapeli familia ya mtu high profile kama Mrema?
 
Mnakumbuka story ya Raia Mwema


Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.

Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA

Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.

Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
View attachment 2359092

Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.

In summary Doreen
  • Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
  • Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
  • Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
  • Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.

Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.

View attachment 2359097View attachment 2359101
Majasho This seem to be more personal
 
Mnakumbuka story ya Raia Mwema


Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.

Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA

Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.

Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
View attachment 2359092

Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.

In summary Doreen
  • Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
  • Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
  • Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
  • Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.

Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.

View attachment 2359097View attachment 2359101
jimama jizi shenzi
 
Awe bandia asiwe bandia ye ndo amekaa na yule mzee wakat hawez hata kujitawaza
Kama mngekuwa na uchungu mngeolewa nyie

Unajua wakat mwingine tuthamin watu wanaokaa na wazee wetu kwenye siku zao za mwisho hamjui wanapitia magumu kias gan
Hilo halialalishi udanganyifu na uvunjifu wa sheria.
 
Mtu kaolewa huko nyuma wakashindwana bado ni mke wa mtu tu kisa hawajatengana mahakamani???? Hapana hii sio sawa umeoa mtu mmeshindwana mnaachana ndoa sio vita.isije mkaja kuuana bure kisa tu mpaka kifo kiwatenganishe.muacheni doris wa watu mpeni hiyo mirathi.mbona kipindi mrema yupo hai hamkusema kama ni mke wa mtu mwingine.Acheni tamaaa familia ya marehemu
Sio lazima kifo kiwatenganishe, mahakama ina mamlaka ya kubatilisha ndoa yoyote na ndio maana vyeti vyote vya ndoa vinatoka serikalini. Kisheria talaka ni haki ya raia yoyote yule.
 
Ndoa ya Doreen mbona ilikuwa ya public kila mtu aliijua. Na pia mara kadhaa alikuwa akihojiwa na mahojiano yake yaliwekwa wazi mitandaoni.

Sasa huyo mume wake alikuwa wapi siku zote mpaka ajitokeze leo baada ya Mrema kufariki?
Swali la msingi sana hili.
Yaani mtu umuone mkeo anaolewa na mtu mwingine tena waziwazi kisha ukae kimya tu,inawezekanaje
 
Nimewaza kama wewe huyu mtoa mada ametumwa si bure atatuwekeaje ushahidi ambao una majina tofauti na majina ya muhusika.
Tutaprove vipi kwamba ndio yeye muhusika labda kama hivyo vyeti vina picha yake hapo sawa.
Msitumie nguvu sana

Mwambieni Doreen aonyeshe cheti chake cha ndoa na Mzee Mrema. Jina katumia lipi alafu mmuulize ilo jina limetoka wapi.

Mkubali mkatae Doreen kavunja sheria na kavunja kwa makusudi kwasababu kazoea udangantifu.

Sheria ipo for a reason
 
Swali la msingi sana hili.
Yaani mtu umuone mkeo anaolewa na mtu mwingine tena waziwazi kisha ukae kimya tu,inawezekanaje
Doreen hakutumia jina Lake, Alitumia jina fake, kwenye ndoa ya Mrema. Tangazo la ndoa lilikuwa jina fake.

Na mume wake halali alijua kaolewa kwenye media kama mimi na wewe.

Jiulize ulishawahi kuona bibi harusi na sun glasses kanisani

Ombeni Doreen atoe cheti chake cha ndoa na Mrema
 
Gazeti la Raia mwema ndilo lilie anzisha huu mjadala Doreen ni mke wa mtu.

Fredrick Mushi alithitisha Doreen ni mke wake kwenye hilo gazeti (kalitafute online)

Mtabishana mpaka Kiama ila mwisho wa siku ukweli utajulikana, mahakama na kanisa itachekesha pumba na mchele. Na mengi yatajulikana maana mahakamani ni open court

Hii issue iwe fundisho, utapeli sio tija, fanyeni kazi. Na unawezaje kuwa mjinga kwenda kutapeli familia ya mtu high profile kama Mrema?
Hivi ulikua wapi wakati mrema mzima...yaani wewe majasho wewe
 
Doreen hakutumia jina Lake, Alitumia jina fake, kwenye ndoa ya Mrema. Tangazo la ndoa lilikuwa jina fake.

Na mume wake halali alijua kaolewa kwenye media kama mimi na wewe.

Jiulize ulishawahi kuona bibi harusi na sun glasses kanisani

Ombeni Doreen atoe cheti chake cha ndoa na Mrema
Mumewe alipojua doreen anaolewa mbona hakujitokeza hadharani..?
 
Mumewe alipojua doreen anaolewa mbona hakujitokeza hadharani..?
Omba cheti cha ndoa cha Doreen na Mrema.

Si unamjua Doreen anapenda media, shida iko wapi.

Mi natafuta popcorn nasubiri mahakamani tuone movie.

Mrs Lissu fanya kazi usitumie jina la Mrs Lissu, na usimmendee Lissu unajua yule ni lawyer haaaa (utani usikasirike)
 
Omba cheti cha ndoa cha Doreen na Mrema.

Si unamjua Doreen anapenda media, shida iko wapi.

Mi natafuta popcorn nasubiri mahakamani tuone movie.

Mrs Lissu fanya kazi usitumie jina la Mrs Lissu, na usimmendee Lissu unajua yule ni lawyer haaaa (utani usikasirike)
Una speed sio kawaida .mie sioni hata kama anapenda media ..namuona ana busara kuliko Jack wa Mengi....kile cheti kitawaumbua tupo hapa sisi ..rc hawawez kubali kuchafuka kirahisi nqmna unayoyaka wewe...ile ni taasisi .kwaheri
 
Mnakumbuka story ya Raia Mwema


Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.

Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA

Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.

Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
View attachment 2359092

Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.

In summary Doreen
  • Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
  • Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
  • Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
  • Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.

Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.

View attachment 2359097View attachment 2359101
Wewe ni nani kwenye familiya ya marehemu? So marehemu hakuyajuwa haya yote?
Nyinyi mnaoteseka ndo mmefoji hayo ma barua, muoaji ashafariki wenda alijua zaidi yako lakini akamuoa basi mmebaki mnateseka anyway!
Mali ndo zinawatesa tafuteni za kwenu ukite wewe hata sio member of the family 🤣
 
Mnakumbuka story ya Raia Mwema


Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.

Doreen aliolewa April 2012, ndoaya kikatiki na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA

Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.

Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
View attachment 2359092

Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.

In summary Doreen
  • Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
  • Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
  • Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
  • Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.

Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.

View attachment 2359097View attachment 2359101
Kwa hiyo hizi karatasi ndio vithibitisho!
Thibitisha pasipokuwa na shaka kuwa Doreen Kimbe ndiye Doreen Mkandala!
 
Mrema shushushuu was brainwashed enough

Doris is an elderl Gold Digger
 
I don't buy it, kama mume wake wa zamani alikuwa ana-dispute yoyote, kwann wakati matangazo ya ndoa yanatoka kanisani hawaku-raise hiyo concern? Why now?

Kuhusu hoja ya majina, kisheria majina yanabadilishika kwa kufuata utaratibu maalumu.

Kuhusu ndoa ya kikatoliki kuwa ya hadi kufa inategemea na circumstances. Kwendana na mazingira, kanisa kikatoliki linaweza kubariki ndoa kuvunjwa kwa kuzingatia vigezo vyao na taratibu zao, na Muhusika akaruhusiwa kuoa tena.

P.S Mwenye mamlaka kisheria ya ku-declare ndoa ni batili au kutoa divorce ni mahakama pekee.
 
Back
Top Bottom