Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Ndoa ya Mrema ni batili, Mjane ana ndoa nyingine halali

Mtu kaolewa huko nyuma wakashindwana bado ni mke wa mtu tu kisa hawajatengana mahakamani???? Hapana hii sio sawa umeoa mtu mmeshindwana mnaachana ndoa sio vita.isije mkaja kuuana bure kisa tu mpaka kifo kiwatenganishe.muacheni doris wa watu mpeni hiyo mirathi.mbona kipindi mrema yupo hai hamkusema kama ni mke wa mtu mwingine.Acheni tamaaa familia ya marehemu

Hapo unazungumza maoni yako
Mwenzako anazungumzia sheria inavyoeleza,

Mtu akiwa na ndoa moja hasa ya kikristo hawezi kuoa/kuolewa kungali ndoa ya Mwanzo haijafutwa. Na akifanya hivyo ndoa ya pili ni batili yaani haipo.
Na huo ni uvunjifu wa sheria.

Hayo mambo ya Mali ni ishu nyingine kabisa.

Hata hivyo Kama ni watoto wa marehemu wanayohaki ya kujua Mali za Baba Yao alizochuma na Mama Yao.
 
Kuna kundi la makahaba wenzake humu JF wanamtetea bila aibu. Golddiggers united.
 
Dada anayo haki. Ni Chagua la baba
Demi dada yangu.

Sheria zinatungwa kwa kuangalia usawa na haki ya kila mtu kwenye jamii. Haimpi mtu favour kwasababu ni mwanamke au mwanaume.

Ulaghai hufikishi watu mbali, hamna short cut kwenye maisha.
 
Demi dada yangu.

Sheria zinatungwa kwa kuangalia usawa na haki ya kila mtu kwenye jamii. Haimpi mtu favour kwasababu ni mwanamke au mwanaume.

Ulaghai hufikishi watu mbali, hamna short cut kwenye maisha.
Mzee alimpenda na kumchagua yeye. Hilo linatosha
 
Naona watu wengi humu wanaandika wasiyoyajua na wachache wanaandika ukweli kwa kifupi huyu Kicheche amechangia pakubwa sana kumsogeza akhera Mh Augustino.
 
Mzee alimpenda na kumchagua yeye. Hilo linatosha
Dada unachoshindwa kuelewa hapa ni sheria.

Wewe kama demi unauwezo wa kufanya maamuzi yoyote ata kujiua.. lakini ukinywa sumu na usipokufa sheria unaijua.

So bi Dada nenda kaolewe kama Doreen kwa majina fekero uone itakachokikuta.

Jiongeze
 
Dada unachoshindwa kuelewa hapa ni sheria.

Wewe kama demi unauwezo wa kufanya maamuzi yoyote ata kujiua.. lakini ukinywa sumu na usipokufa sheria unaijua.

So bi Dada nenda kaolewe kama Doreen kwa majina fekero uone itakachokikuta.

Jiongeze
Ndio maana nimesema sheria haipo sawa. Najua kuna makosa hapo.
Siwezi olewa na mzee asiyeweza kunipa dudu...haitatokea
 
Mtu kaolewa huko nyuma wakashindwana bado ni mke wa mtu tu kisa hawajatengana mahakamani???? Hapana hii sio sawa umeoa mtu mmeshindwana mnaachana ndoa sio vita.isije mkaja kuuana bure kisa tu mpaka kifo kiwatenganishe.muacheni doris wa watu mpeni hiyo mirathi.mbona kipindi mrema yupo hai hamkusema kama ni mke wa mtu mwingine.Acheni tamaaa familia ya marehemu
Ndoa ni mkataba na inavunjika kwa kuvunja mkataba mahakamani!! Hapo umeelewa?
 
Watu wanaolewa mara 5 ndo wanabahatika ndoa salama yeye anashangaa kuwahi kuolewa mara Moja.😳ndo wanaokufa vibaya Kwa mioyo Yao ya kwann
Mleta mada mwenyew ameshindwa hata kuitetea mada yake, sasa hayo mambo ya kuolewa zaidi ya mara 1 atayajulia wapi!!
 
Sasa huyo bwana mwingine alikua wapi kipindi chote hicho? Matangazo yalikua mengi kwenye mitandao na vyombo vya habari, ina maana hakuna hata ndugu wa karibu alijua kuhusu hili? Wanamuonea gere sasa baada ya kupata urithi wa mali kwa wakina Mrema.
 
Ulisoma gazeti la Raia mwema lililo anzisha hii story?

Mbona alitokea na ali confirm alikuwa mke wake.

Litafute
Angeenda basi kupinga hiyo ndoa yake na Mrema. Sasa kakaa kimya hadi Mrema anaondoka anamaanisha nini wakati Doreen ndio yuko kwenye mikono salama huko kwa Mrema?
 
Back
Top Bottom