Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Unajuaje alimsaidia sana? Leta evidence zakoHata kama nia ilikuwa mali kumbukeni kamsaidia sana Mrema siku zake za mwisho, ugonjwa na uzee, nyie mlikuwa wapi kupinga hiyo ndoa wakati Mrema akiwa hai? malizaneni kistaarabu, tumieni court itawapa haki zenu na yake sio kuchafuana
Raia mwema wanasema mume wa huyo Doreen hakujua anaolewa mpaka siku aliyoolewa na alijua kama mimi na wewe kwenye media ndoa imefungwa.Ndoa ya Doreen mbona ilikuwa ya public kila mtu aliijua. Na pia mara kadhaa alikuwa akihojiwa na mahojiano yake yaliwekwa wazi mitandaoni.
Sasa huyo mume wake alikuwa wapi siku zote mpaka ajitokeze leo baada ya Mrema kufariki?
Kwani shida ya mtoa mada iko upande upi?
Mnakumbuka story ya Raia Mwema
Lyatonga Mrema adaiwa kupora mke wa mtu
Ina maaana Mrema na ushushu wake hakufanya due dilligence? Sasa mbona anadaiwa kupora mke wa mtu? 👇 Ndoa ya Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Augustino Mrema imeibua utata na kusemekana kuwa ni batili kufuatia uwepo wa madai kuwa mwanamke aliyefunga nae ndoa, Doreen Kimbi...www.jamiiforums.com
Kumbe anayejiita Mjane wa Mrema ni Mafia wa mjini na anatumia majina fake kutapeli watu.
Doreen aliolewa April 2012, NDOA YA KATOLIKI na Bwana Fredrick Mushi (mchaga wa kibosho) ambaye yupo hai na inasemekana walipata watoto wawili. Cheti cha ndoa kipo hapo chini na kimesajiliwa RITA
Doreen na Fredrick Mushi Hawakupata divorce na kama tujuhavyo ndoa za KATOLIKI ni mpaka kifo kitenganishe.
Aliulizwa aliwahi kuolewa na majibu hapo chini ndio aliyatoa
View attachment 2359092
Aliolewa tena na Mrema kwa jina la uongo ili asiwekewe pingamizi na ndio kama mnakumbuka zile hekaheka za kuweka watu wa uongo kujifanya Doreen na kuvaa Miwani kama jambazi siku ya harusi na Mrema.
In summary Doreen
Huyu Doreen asije akawa kwenye kigroup cha organised criminals, police wachunguze huyu mtu.
- Kwa ndoa yake na Mrema alitumia jina kabisa lingine la uongo Doris Mkandala.
- Uamihaji na Magereza aliforge vyeti alikuwa anajiita Doreen Mkandala na alitumbuliwa kwa vyeti feki kipindi cha Magufuli.
- Ndoa ya kwanza alitumia Doreen Kimbi ambalo ndio linajulikana kila sehemu.
- Na pia kuna tetesi alishawahi kuolewa tena huko Mbeya
Kanisa katoliki itabidi liwajibike ni aibu kubwa. Police waingilie kati wajue huyu Doreen ni nani has before hajatafuta next victim.
View attachment 2359097View attachment 2359101
Hivi Mrema alikaa kwenye ndoa na mke wake wa kwanza miaka 48?Anataka hela za kamanda kizembe hivyo
Wapi nimesema kuwa nina uhakika? Kama nyie mlikuwa na uhakika kuwa alikuwa anamtesa mngempeleka ustawi wa jamii au mahakamani. Hilo la kujutia ndoa ni la kawaida tu. Sio uthibitisho wa kuteswa. Huo unaoona kuwa ni ushahidi wako hauna uzito maana haujathibitisha kuwa mjane wa Mrema ndio huyo unayemtuhumu kuwa aliwahi kuolewa kabla. Mpaka sasa ulichoweka ni umbea tu.Una huhakika gani alimtunza vizuri au ndio alivyokuwa anajiweka kwenye media na mnaamini?
Doreen alikuwa moshi kila siku tunakutana nae. sasa swali mzee huyo nani alikuwa anamwangalia?
Na unajua kuna clips na videos za mzee Mrema anasema kwa ndugu zake analalamika alikosea kuoa?
yule ni mwanamke mrembo na anahisia kama wengine ni mzuri wa sura na ukimuangalia vizuri anaonekana ni mtamu sana! Kwa hiyo mtoa mada ulitaka asipendwe? Changamoto alizopitia kwenye ndoa yake ya kwanza unazijua? Habar ya majina yake wewe ndio baba yake?hata mm nampenda akinikubalia nitafunga mfuko wako unasema
Unampenda una hela za uhakika? Usijihaibishe kakayule ni mwanamke mrembo na anahisia kama wengine ni mzuri wa sura na ukimuangalia vizuri anaonekana ni mtamu sana! Kwa hiyo mtoa mada ulitaka asipendwe? Changamoto alizopitia kwenye ndoa yake ya kwanza unazijua? Habar ya majina yake wewe ndio baba yake?hata mm nampenda akinikubalia nitafunga nae ndoa!
Ataambulia bahasha za mialiko ya T.L.P bhasi.Hivi Mrema alikaa kwenye ndoa na mke wake wa kwanza miaka 48?
Hivi sheria za ndoa si inatakiwa Doreen apewe mali alizochuma tu na mume wake miezi 4 na nyingine ziwe za ndoa ya kwanza?
Itabidi muachane kwa kufuata tarat8bu xa kuvunja mkataba wenu mlioingia msikitini au kanisani. Ila kwa kanisa katoliki sahau kuhusu kukubaliwa na kupewa hati ya talaka. Hiyo contract ni until death not otherwise...Mtu kaolewa huko nyuma wakashindwana bado ni mke wa mtu tu kisa hawajatengana mahakamani???? Hapana hii sio sawa umeoa mtu mmeshindwana mnaachana ndoa sio vita.isije mkaja kuuana bure kisa tu mpaka kifo kiwatenganishe.muacheni doris wa watu mpeni hiyo mirathi.mbona kipindi mrema yupo hai hamkusema kama ni mke wa mtu mwingine.Acheni tamaaa familia ya marehemu
Unataka ushahidi gani kama mume halali anasema ni mke wake na cheti kipo registered RITA.Wapi nimesema kuwa nina uhakika? Kama nyie mlikuwa na uhakika kuwa alikuwa anamtesa mngempeleka ustawi wa jamii au mahakamani. Hilo la kujutia ndoa ni la kawaida tu. Sio uthibitisho wa kuteswa. Huo unaoona kuwa ni ushahidi wako hauna uzito maana haujathibitisha kuwa mjane wa Mrema ndio huyo unayemtuhumu kuwa aliwahi kuolewa kabla. Mpaka sasa ulichoweka ni umbea tu.
Amandla...
Sheria inatambua vipi mke/mjane halali?Doreen asichafuliwe. Apewe haki zake kama mke/mjane halali wa Mrema
Ndoa imetangazwa kila mahali na picha ya Doreen zimewekwa wazi. Huyo Fredrick alishindwa nini kwenda Mahakamani kumdai huyo unaesema alikuwa mke wake? Kwa nini hakwenda hata kwenye kanisa walikofungia ndoa na kuwaambia kuwa huyo waliyemfungisha ndoa alikuwa mke wake? Mtu amekufa ndio mnaleta za kuleta.Unataka ushahidi gani kama mume halali anasema ni mke wake na cheti kipo registered RITA.
Na kanisa waliofunga ndoa linatambua ndoa yao?
Wewe utakuwa Doreen wewe si Bure.