Hii ndoa imemrudisha nyuma sana Shamsa Ford kikazi. She was doing very well with her career na alikuwa na kiu ya kweli ya kufika mbali lakini tangu aolewe naona akawa doro.
Kwa sasa vile yuko huru, afocus tu kwenye kazi yake na aende mbele kwa mbele. Kwanza ni motivation nzuri kwake ya kukimbia kwa spidi zote vile now she calls the shots all by herself once again.
All the best kwake. Muhimu ameshatoa gundu.
Hivi ukiandika lugha moja unakuwa hauelewei?
Bulaya acha uchokoziKidhungu chako yataka kipaji kukielewa, ila sawa.
Sasa kuzaa si pia ni makubaliano. Ukiona hamna future huwez kuzaa usije ukapata tabu baadaeMakusudi Shem. Hauoni ndiyo mtindo wao mpya? Wanaolewa na viben10 halafu wanagoma kuzaa.
Chidi Mapenzi kijana wa Urambo biashara yake ya unga imekuwa ngumu na ndoa imemshinda. Shamsa aendelee na tamthilia na filamu.pesa za sembe zimeisha ameamua kusepa
Daaahh,ebhana sawa.Mwamba ana pua kaa koki
nikasome nini mkuu?Kuna michango yenye lugha moja.
Kasome hizo mkuu.
So unataka kusema ndoa za sasa hivi siyo ktk shida na raha?!! Ni wakati wa raha pekee yake tu?!!Mapenzi bila pesa kwa sasa hayadumu huyu dem kuondoka ni dalili tosha jamaa kashachoka sana kimaisha
Wavaa kobazi wana shida na raha?So unataka kusema ndoa za sasa hivi siyo ktk shida na raha?!! Ni wakati wa raha pekee yake tu?!!
Maisha yana changomoto nyingi. Hata hata anayopitia Chidi,yeye si wa kwanza wako wengi tu wamepitia hata na kuvuka salama. Ila wengine ndio wakasambaratika kama tunavyo muona Dada yetu.
Kikubwa ni upendo wa kweli,kujitambua,kumtanguliza Mungu na mwisho kabisa ni aina ya marafiki wanao kuzungukà. Maana they can make you or break you.
comments written in your language of preference.nikasome nini mkuu?
So kwako ww n bora alivyoachika au bila kujua kweny maisha kila k2 kna mwisho hta sanaa inamwisho piaHii ndoa imemrudisha nyuma sana Shamsa Ford kikazi. She was doing very well with her career na alikuwa na kiu ya kweli ya kufika mbali lakini tangu aolewe naona akawa doro.
Kwa sasa vile yuko huru, afocus tu kwenye kazi yake na aende mbele kwa mbele. Kwanza ni motivation nzuri kwake ya kukimbia kwa spidi zote vile now she calls the shots all by herself once again.
All the best kwake. Muhimu ameshatoa gundu.
Bora yeye kuliko waliokuwa mashoga[emoji2][emoji2] kamchuna kwa lipi?Huyo chid alimjengea yapo room moja(jibu ni hapana)
Uliwahi kuona labda kampeleka japo Dubai demu akafanya expnsv shopping (jibu ni hapana)
Ukiwa na mwanaume mwenye hela lazima kuna vitu vitakuwa havijifichi esp kwa watu wa karibu mabadiliko yangeonekana tu.Kubali kataa shamsa kaolewa na chidy kipindi WESE lishaanza kukata.
Unahisi anavyojichimbiaga huko China anakifanya nn? Kazi kubwa alobakia nayo ndo hiyo kutembeza watu kwenye machimbo na kukimbia madeni.
Wewe ni mpenda sifa acha kumponda mwenzio kwa hiyo ulitaka asikukaribishe? Eti diesel hizo SA wanauza rand buku tu na wewe unajionaaaa mxxxmHilo jina tu huyu wa kukamata vinuka mkojo tu,siku nilikatiza pale kwa duka lake Meridian nikamkuta,ufala mwingi sana "ooh karibu kaka kwa chid mapenzi,nikamuuliza unataka utobolewe?aah amna bro sema tu pamba tunazo.akiangalia nilikua nimepiga diesel jeans ngumu,Abercrombie t shirt,chini nna adidas nba sign.vyote bongo hupati akanywea.
Sema nikachukua nguo kadhaa za kubadili maana kurudi hm soo.
Sasa Huyo ndio shamsa kamfanya mume.
Wastara na the late Sajuki.Sidhani kama kuna msanii yeyote hasa wa bongo movies kama amewahi kudumu kwenye ndoa mpaka kifo kiwatenganishe. Binafsi nishawazoea. Kesho na kesho kutwa utasikia kaolewa na Dogo janja halafu baada ya siku 19 utasikia wameachana!
Na wababa wenye makelele na visa visivokauka, huwa wanafanana sana na watoto zao. In case the man has gone, he leaves you with the kids who look exactly like him.Hata angezaa people would still find fault why amezaa.
Am speaking as a woman, huenda anapoingia ndani ya ndoa her intuition spoke to her to chill out na asikimbilie kuzaa. Either that or simply hakushika ujauzito.
Wanasemaga once bitten, twice shy. Picture being single again, stuck with another child.