hii tabia ya wanandoa fkukwazana wanakimbilia kwenye media ni usengeree kabisa
Kwa raha zetu.Hakuna kuvumilia karaha.
nmefanyaje tena bestAfu wewe, usinifanyie hivo wangu!
Best fanya kunitumia namba z mkewe w sheta mana atanifaa sana huyo ugomvi tu anakimbia mume
Umeonaa eeehhh kwa raha zetu Bibi nivumilie karaha ina huuu?? Nasepa fasta ha ha Uislamu raha sana
nmefanyaje tena best
Dats how it z,yan hii bongo muv cjui nan aliacha ameilaan af akafa mana kla ck ina vimbwanga vpya cjui ntaingiaje kwny chama hili ila bc 2 mrad najua nachofanya so ntakua mwangalif sana,ee Mungu nisaidie
haya pouwaNgoja nipitie kule, hapa kuku wengi, mchele kibaba
Utakufa ndugu yangu,ohoooo!
Ninishida nifah namsaidia shetta kulea mke n mtoto
Nampenda lakini sina kitu chikolobo
Sijui ninini mavitu chikolobo
Wana roho za pakashume chikolobo
Sina namba zake ningekupa,mie kwani najali? Ilikua tahadhari tu tusijekukupoteza tukakosa maubuyu ya mabilionea wa Arusha.
hii tabia ya wanandoa fkukwazana wanakimbilia kwenye media ni usengeree kabisa
Best fanya kunitumia namba z mkewe w sheta mana atanifaa sana huyo ugomvi tu anakimbia mume
Raha tena sana.Watu wanasemaga tu hawajui raha na faida za kua muislam.Ndoa ukiona haikufai tena unasepa tu.
Hahahaaa
ha ha ha aaag usengeree huuHaa waache wawe wanasimulia ivi ivi tusije tukakosa cha kuongelea.
Ile habari ya msanii shetta kulala chumba kimoja na rose ndauka uko morogoro imevunja Ndoa na mke ameondoka rasmi na amekataa zawadi ya gari..
========
Ndoa ya Shetta imevunjika . Mke wake kakataa pia hii zawadi aliyopewa.
Usambazaji wa picha kwenye mitandao siku hizi umekua na nguvu kubwa sana, picha inaweza kusambazwa ndani ya dakika 20 ikabadilisha mambo mengi sana kwenye maisha tunayoishi.
Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shetta ambaye alikuja kwenye studio za Millard Ayo na kukubali kuweka wazi kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake ambayo haina hata miaka mitano.Unataka kuona alichosema kuanzia mwanzo mpaka mwisho? unataka kuona picha ya zawadi aliyomnunulia mke wake na bado akaikataa?
Tazama video hii hapa;
Chanzo: MillardAyo
Shetta ndiye aliyeiga maana huo wimbo wa gallardo umetoka muda tu kama mwaka na nusu sasa.