Ndoa ya mtangazaji mkongwe Betty Mkwasa na Charles Boniface Mkwasa β€œMaster” yafikisha miaka 35, wapo imara na wanasonga mbele

Hongera kwa imani na uvumilivu maana ndo msingi wa yote hadi sasa
 
Mungu wangu Betty kavaa huo mkanda kwenye gauni kwa makusudi au nini?

Hizo rangi zake huo mkanda si ndio zinatumiwa na watu wa upinde kama utambulisho wao
 
Betty yule yule wa Redio Tanzania ndio kajipalua hivyo kweli kuzaliwa black ni mithili ya Yuda Eskariot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…