Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ya kwangu ina miaka 76 sasa, jifunzeni kutoka kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekudharau wewe na kizazi chakoWewe ni muislam, maana muislam kwa wali tu ama kitu pilau hata kumtupia mtu majini ili afe akale pilau haoni hasara.
Hawa masheikh wa kizazi kipya ni shida kweli kweli, basi hapo unaitwa Aunty Muddy au siyo?Nimekudharau wewe na kizazi chako
Tandika maswali kisawasawa na majibu atoe🤣🤣😜!Apewe tena ukuu wa wilaya kwa sababu ni mwanahabari au kwakuwa ndoa yao imefikisha miaka 35?
Tofautisha ndoa na harusi jibu unalo tayari.Wazazi wangu walianza kuishi pamoja mwaka 74, na wamefunga ndoa mwaka 2018 je Wana miaka mingapi kwenye ndoa?
Wanawake wengi wa zamani walitumia majina ya waume zao🤔🤔
ChazKwahiyo kati yao nani amekubali kuwa mjinga?
Hawa walioana wakiwa washazaa, mtoto wao wa mwisho nimesoma nae na mimi saivi ni old skulDuuh kweli miaka 35 si haba
Huyo alienda kugombania ubunge huku akiwa na kipindi ITV kikiitwa "UKIMWI NI HUU" sasa wajumbe wakamtwanga swali badala ya kujibu akaanza kulia, JK ndio akamfuta machoziJK alikuwa anawakuta wapi Hawa wadada?? Nimeuliza tu
Huyo alienda kugombania ubunge huku akiwa na kipindi ITV kikiitwa "UKIMWI NI HUU" sasa wajumbe wakamtwanga swali badala ya kujibu akaanza kulia, JK ndio akamfuta machozi
Haya mkuu! Alimkutaga wapi chura kiziwiHuyo alienda kugombania ubunge huku akiwa na kipindi ITV kikiitwa "UKIMWI NI HUU" sasa wajumbe wakamtwanga swali badala ya kujibu akaanza kulia, JK ndio akamfuta machozi