Hawana time. Wako busy. Baadhi ya wabongo wanamind mapenzi zaidi ya kazi ndo maana tupo nyuma kimaendeleo.
Wazungu hata mke mmoja wameshindwa, wamekuja na ndoa za jinsia moja. Wengi wao hufanya mapenzi once a month, wengine once a weekNimekuwa najiuliza kwa nini haki za binadamu za ki-Magharibi hazikubali ndoa za mke zaidi ya mmoja?
Nchi kadhaa za Ulaya zimeharamisha ndoa za mke zaidi ya mmoja, japo ziko tayari kuruhusu matumizi ya bangi na ndoa za jinsi moja, kwa mfano!
Nchi hizo katika kutetea haki za binadamu zinapinga adhabu ya kifo na zinatetea sana uhuru na haki za mtu binafsi. Lakini inapokuja kwenye mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja haikubaliki, kwa nini?
kuoa mke mmoja ni kujishusha kwa mwanaume,mbwa guzaa mpaka watoto kumi lakini mbwa hawajawahi kuwawengi duniani pamoj na kuwa mbwa haliwi.mungu kaleta wanawake wengi kwa ajili maalum na wenye akili tunajua.
Baadhi yao huoa wanawake wengi kwa nyakati tofautiNimekuwa najiuliza kwa nini haki za binadamu za ki-Magharibi hazikubali ndoa za mke zaidi ya mmoja?
Nchi kadhaa za Ulaya zimeharamisha ndoa za mke zaidi ya mmoja, japo ziko tayari kuruhusu matumizi ya bangi na ndoa za jinsi moja, kwa mfano!
Nchi hizo katika kutetea haki za binadamu zinapinga adhabu ya kifo na zinatetea sana uhuru na haki za mtu binafsi. Lakini inapokuja kwenye mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja haikubaliki, kwa nini?
wewe una matatizo yako
unatafuta watu wakuunge mkono tu ... udini utakuua wewe!
umeshaambiwa kila nchi ina utaratibu wake wa kuendesha mambo kulingana
na sheria zao ..... jinsi waislam mnavyotofautiana nchi na nchi ndivyo
na wakristo na makanisa wanavyotofautiana nchi na nchi
kwa mfano mimi marekani nimeona waislam wanakula nguruwe bila wasi wasi
na wanajiita waislam ... nikawauliza kwa nini waksema sio lazima wafuate
kila kitu kinachotoka middle east!
marekani hiyo hiyo haitambui sherehe za eid wala hizo ndoa za wake
wanne!
kuoa mke mmoja ni kujishusha kwa mwanaume,mbwa guzaa mpaka watoto kumi lakini mbwa hawajawahi kuwawengi duniani pamoj na kuwa mbwa haliwi.mungu kaleta wanawake wengi kwa ajili maalum na wenye akili tunajua.
Mjuni, usidanganye watu. Marekani unafungwa kbs iwapo utagundulika una mke zaidi ya mmoja, iwe dini yako inaruhusu ama la! The same applies to UK laws.Lakini sio kweli kwamba sheria zinakataza.
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja ni haramu kwa mkristo..!
Kweli kaka, kwani hata hao walioruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja, si wote wanafanya hivyo. Wapo wenye mke mmoja mpaka mauti yanapowakuta. Hakuna dhambi kuwa na mke mmojaSio kweli, hakuna nchi iliyoharamisha ndoa ya wake zaidi ya mmoja, ungesema tu kuwa raia wa nchi hizo hawaoni kama ni jambo la maana kuoa wake wengi, Lakini sio kweli kwamba sheria zinakataza.
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja ni haramu kwa mkristo..!
Nimekuwa najiuliza kwa nini haki za binadamu za ki-Magharibi hazikubali ndoa za mke zaidi ya mmoja?
Nchi kadhaa za Ulaya zimeharamisha ndoa za mke zaidi ya mmoja, japo ziko tayari kuruhusu matumizi ya bangi na ndoa za jinsi moja, kwa mfano!
Nchi hizo katika kutetea haki za binadamu zinapinga adhabu ya kifo na zinatetea sana uhuru na haki za mtu binafsi. Lakini inapokuja kwenye mwanaume kuoa mke zaidi ya mmoja haikubaliki, kwa nini?
Acha kusikiliza story za mtaani, Uingereza na Marekani ni mataifa ambayo watu wa imani zote, itikadi zote na mitazamo yote wanaruhusiwa kuishi kwa furaha na amani, Marekani kuna hadi majimbo wanaruhusiwa kuvuta bange hadharani, hebu tupe hivyo vifungu vya sheria vinavyozuia mtu kuoa mke zaidi ya mmoja.Mjuni, usidanganye watu. Marekani unafungwa kbs iwapo utagundulika una mke zaidi ya mmoja, iwe dini yako inaruhusu ama la! The same applies to UK laws.
Topic sio hiyo mkuu, swala ni je, kweli mataifa ya magharibi yameharamisha polygamy?(ndoa ya mke zaidi ya mmoja) Idimi​ anataka kutuletea story za mitaani.mungu alisema kila mtu ataambatana na mke wake siyo wake zake. mungu alimtafutia adam msaidiz mmoja siyo wengi.
kiuhalisia wake wengi uleta umasikin na ugomvi tu
hata watoto wako huwezi kuwapenda kwa kiwango sawa lakini siyo kuwa wengine unawachukiaTrue love has always been undivided!