Wazungu hawa mind mambo hayo japo yanaruhusiwa. Unaona hata kuzaa, wao huzaa wastani wa watoto wawili. Ni wachumi sana katika jambo hilo. Kwa baba yangu wamezaliwa kwa mama yao 12 na kwao mama yangu kwa mama yao wamezaliwa 14. Huwezi kuikuta kwa nchi za Ulaya hiyo, ndo maana kwao kuoa mke mmoja anatosha!