huyu mbunge amesoma mpaka la ngapi au anaandika kipemba,,,,
yule jamaa wa chanel 20-10=?Yule jamaa wa chaneli kumi?
Mkuu elimu yake siijui lakini si umemuelewa?huyu mbunge amesoma mpaka la ngapi au anaandika kipemba,,,,
Insta kama hujulikani fanya kituko kimoja tu utajulikana ndani ya sekunde na utapata followers wakutosha wabongo wa insta hawana hiyana kuchamba ndo Kazi yao
sasa sielewi wameachana ama vepee tehetehe huyu mzee kapewa makavu insta kubaya sana .... anatuhuma za kubembea nje ya 'ndowa' hahahahaha
wanatukana bila aibuInsta kama hujulikani fanya kituko kimoja tu utajulikana ndani ya sekunde na utapata followers wakutosha wabongo wa insta hawana hiyana kuchamba ndo Kazi yao
Ni mbunge?Mkuu elimu yake siijui lakini si umemuelewa?
Anacheo huko UVCCM Zanzibar sijui kama ni mbunge.Ni mbunge?
Usisahau kununua movie mpya ya wastara imetoka wiki hii #kikiDah! Huyu Dada mbona anapitia mitihani migumu hivi!? Nimesikia uchungu mno baada ya kuona kwenye mitandao kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na nikapata uthibitisho kwenye radio kipindi cha Dida.
Kwanza kabisa namuombea apone then mengine ndo yatafuata.
===========
Update: MUME WA WASTARA, SADIFA JUMA AFAFANUA KWA UNDANI KILICHOTOKEA
Sio wacha bi mkubwa ni "acha"Ewe mzushi wacha uzushi.
Muosha uoshwa teh tehSio wacha bi mkubwa ni "acha"