Ndoa ya Wastara yadaiwa kuvunjika, mumewe afafanua kilichotokea

Ndoa ya Wastara yadaiwa kuvunjika, mumewe afafanua kilichotokea

Status
Not open for further replies.
Mmmmmmmhhh kazi ipo..... sasa mme kafunguka hatarii [emoji124] [emoji124]
 
106e02f14999ef246ddd03268dd09d4b.jpg
huyu mbunge amesoma mpaka la ngapi au anaandika kipemba,,,,
 
Ajisalimishe kwa BWANA YESU. >> Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na Mizigo nami nitawapumzisha.(Matayo 11:28)
 
eb5dadfa4d04bf26c9f1340173a8be9a.jpg


sasa sielewi wameachana ama vepee tehetehe huyu mzee kapewa makavu insta kubaya sana .... anatuhuma za kubembea nje ya 'ndowa' hahahahaha
 
Hawa ndo waliompump ha ha haaa insta sio mahala salama walahi tena
1458810771402.jpg
 
eb5dadfa4d04bf26c9f1340173a8be9a.jpg


sasa sielewi wameachana ama vepee tehetehe huyu mzee kapewa makavu insta kubaya sana .... anatuhuma za kubembea nje ya 'ndowa' hahahahaha
Insta kama hujulikani fanya kituko kimoja tu utajulikana ndani ya sekunde na utapata followers wakutosha wabongo wa insta hawana hiyana kuchamba ndo Kazi yao
 
Dah! Huyu Dada mbona anapitia mitihani migumu hivi!? Nimesikia uchungu mno baada ya kuona kwenye mitandao kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na nikapata uthibitisho kwenye radio kipindi cha Dida.

Kwanza kabisa namuombea apone then mengine ndo yatafuata.

===========

Update: MUME WA WASTARA, SADIFA JUMA AFAFANUA KWA UNDANI KILICHOTOKEA

52370f1a274c698a1f9e6f5b1484d366.jpg
c5215a8f53f55e70710c9fc9a33717f5.jpg
5b1c753bd5ee18b08b639b758842510b.jpg
b1298b0429296cea49d61502a7515c01.jpg
3fadccbd470f3ad147624b851d21b198.jpg

eb5dadfa4d04bf26c9f1340173a8be9a.jpg

106e02f14999ef246ddd03268dd09d4b.jpg
Usisahau kununua movie mpya ya wastara imetoka wiki hii #kiki
 
Hawa watu wanapata wapi ujasiri wa kumtukana sadifa mitandaoni? wanashangaza kwa kweli.
 
Wastara kama haya aliyosema mumeo ni ya kweli, basi hata sajuki alikuvumilia sana, na ile heshima iliyokuwepo kwao imefutika kabisa maskini. Kwa nini upeleke mambo ya ndani redioni? au ndio kujiwahi kuficha maovu yako jamii ikuonee huruma? mh. pole sana
 
Duh kweli haya mambo ya walimwengu sijuti kuipenda JF
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom