Wema ndiye aliyemuacha diamond kama ulikuwa hujui tena jaribu kuandika kitu ulichofanyia research .Ata diamond alishawahi kukili kwenye media kwamba wema ndiye aliyemuacha.
Yaani sikujua anaweweseka kiasi hiki....duh
Amekuwa mke tatu au wa kumi ndotoni au?
AHahahah mwenzangu ila k-lyn kiboko aseeh
Kumbe haukumsikia redioni anasema alimtumia sms Diamond na hakumjibu hadi kesho? Hiyo ni mwezi huu redioni.
Labda haujamwelewa mbongopopo alimaanisha nini kwa post yake.
Alimtumia kumpa pole ya kuuguza mama yake diamond nasiyo ya mapenzi.Wema hana shida na diamond tena yupo na mambo yake tena yanamueendea vzr sana.Na familia yote inamsupport.
Hadi nimecheka kwanini hakumpa pole kupitia Esma mkewe Petit. Mapenzi mchezo mwingine yanaumaaaaaaaa kama yanavyomuuma na kukimbizwa.
Mtu ukimuacha mwenzio vibaya ni bye bye no kutafutana tena kwa hili au lile.
muoneni huyuua anawewesekaaa
hhhhahaaaaaaa
Hahahahahahaha siyo kosa lako .Acha kukalili kuwa kila mkiachana hamna salamu wala jambo....au ww pia wa tanda..
Kaolewa kweli au ni photo shoot hyo.
​Sasa kama wema kopo na huyo shemeji yetu zari si atakua debe kabisa au pipa ..nyani haoni kundule!!Naona wanajambisha watu uko insta utadhan ye ndo mwanamke wa kwanza kuolewa mxiuuui, namuonea huruma huyo jamaa kuoa kopo
Diamond na Zari wanamtesa sana wema.
Sasa instagram, search warumi_
Sasa instagram, search warumi_