Ndoa ya Wema Sepetu yazua gumzo mjini

Ndoa ya Wema Sepetu yazua gumzo mjini

duu kuna picha kaitupia insta yaan sijui ndo tayar maana naona vidole vinang'ara tayar
 
Mimi kwa upande wangu naona ni stunt.... the timing is abit tricky.... domo na zari wana something big happening on 1st na adverts zote ni shela na suti n forgive me if am weong but nahisi zari is engaged 2 domo..... sasa kwa jinsi nnavyomjua wema anapenda sana attention 2 me this is one of those times..... remember when zari had her UG all white party same weekend as Chameleone's concert wema alianza kutangaza concert ya chameleone something that has never happened b4 but we will wait and see......
 
ila Wema nampenda ila hapa nae ametaka vya kiki na ka gauni ka bi harusi kabisa

apunguze aiseeeeee....... anaonekana bado anaweweseka na Dai
 
Kuna wanawake humu ndani ni wagawa papuchi wakubwa sema kwa vile hawako kwenye spotlight hawajulikani, ila wa kwanza kumlaani mwenzao, kweli watu humu ndani wamejaa stress na wivu!

Unazani sasa hawajulikani....wanajulikana lakini sasa hizi fake ID zinasitiri watu.....tena wanaochongea sana ndo wenyewe apo chorea mstari afu kusanya ungoje matokeao usipokubali....sema sasa tofauti ya hawa wa humu wanatoa papuch kwa kuhongw castle light na Galaxy na ndo maana wana wivu......
 
Naona wanajambisha watu uko insta utadhan ye ndo mwanamke wa kwanza kuolewa mxiuuui, namuonea huruma huyo jamaa kuoa kopo

Hahaaaa we warumi weweee miss wa watu unamuita kopo????? Ngoja team lake lije hum.
 
ila Wema nampenda ila hapa nae ametaka vya kiki na ka gauni ka bi harusi kabisa

apunguze aiseeeeee....... anaonekana bado anaweweseka na Dai

Madai anazipa nguvu tetesi za warumi, kwa hiyo ningemwambia ana ukimwi angepiga picha na cheti? Mxiuuuu huu ushamba wa hali ya juu
 
Hahahahaa Wema nae kaona zari kavaa wedding dress na yeye huyooo,kiukweli Zari anampa homa sana madame
 
Duh wanaume tuna kazi aisee yaani wema kweli?
Inahitaji uvumilivu maana kila kitu kwenye mwili wa wema kimesha deteriorate kuanzia papuchi etc.
Mcharuko kuanzia yeye mwenyewe hadi mama yake

Hilo neno limenikumbusha mbali sana, lilikuwa linanisumbua sana kutamka
 
Wema ndiye aliyemuacha diamond kama ulikuwa hujui tena jaribu kuandika kitu ulichofanyia research .Ata diamond alishawahi kukili kwenye media kwamba wema ndiye aliyemuacha.
team pwanya road kuna wakati mnatakiwa mueke ushabiki pembeni muongee FACT boss wako alikua na interview last week.EFM na gadna na bikra wa kisukuma akakiri anampenda dai hadi leo anasikiliza nyimbo zake kwny gari lake na akasema kuna siku kamtumia dai meseji dau hakumjibu usisahau pia aliwaambie nyie team pwanya road msimpangie cha kuandika.....
 
team pwanya road kuna wakati mnatakiwa mueke ushabiki pembeni muongee FACT boss wako alikua na interview last week.EFM na gadna na bikra wa kisukuma akakiri anampenda dai hadi leo anasikiliza nyimbo zake kwny gari lake na akasema kuna siku kamtumia dai meseji dau hakumjibu usisahau pia aliwaambie nyie team pwanya road msimpangie cha kuandika.....

Aaaaaaaah bambie hao panya road
 
Back
Top Bottom