hahahahaha yaani wa tanda... utawajua tu.wema hakusema kuwa anampenda kimapenzi na wala hakumtumia sms ya mapenzi alimtumia ya kumpa pole ya kuuguza kwani naye unajua nini maana ya kuuguza.Kwani mkiachana ndio hakuna salam wala jambo???? Au ndio IQ zenu zinafanana watu wa tanda....
team pwanya road kuna wakati mnatakiwa mueke ushabiki pembeni muongee FACT boss wako alikua na interview last week.EFM na gadna na bikra wa kisukuma akakiri anampenda dai hadi leo anasikiliza nyimbo zake kwny gari lake na akasema kuna siku kamtumia dai meseji dau hakumjibu usisahau pia aliwaambie nyie team pwanya road msimpangie cha kuandika.....