Ndoa ya Wema Sepetu yazua gumzo mjini

Ndoa ya Wema Sepetu yazua gumzo mjini

Dada huyoooo ameolewa na mahar ishatolewa, Bwana huyo kapata mke Bikira,na uwanja cijui uleule wa taifa au Emirate?
 
Heaven on Earth binamu ata kualikana? Naona harusi ya shoga yako bab kubwa bibi harus peke yake
 
Last edited by a moderator:
Mumesikia Director hajafurahia muviii yake kuibiwa credit na Wema kudai ilikuwa ni ndoa yake...wakati ni kuvi na gari la director ndio lilikuwa linatumika kikazi.

Mpo?????

Ebu nieleweshe kwanza
 
Picha ya nini hii? Sijaiona vizuri

Ni director wa muviii aliyokua amevaa gauni la harusi wema...badala ya kutangaza muvii kaibadili location iwe yake sasa Director ameona nadhani kaenda mpaka kudanganya kwenye redio ndio kaamua kusema ukweli....kasema hapendi uongo

Nimeona umeshatagiwa kwenye picha zake insta...nenda anajibu na maswali....chezea kazi na udaku na vigodoroooooo...lol AIBU
 
Hahahaaaaaa nmechungulia kwa directa+jb yan ni uongo wa kitoto sana, hlo dume lenyew analoonekana nalo kwny hyo clip ni jb mwenyew loh sijawah ona uongo cheap km huu!!!!
 
Wema na na kuku jike bora kuku huyo atakuwa katumwa na mganga labda ili nyota ipande manahata domo anapandishiaga nyota hapo
 
Nimecheka jamani huko insta binam sii matusinhayoooo hhhhhaaaaaa 😂😂😂😂😂😂😂

AHahah jana nilitembeza dozi ya maana mxiuuu wanawaonea hao hao wajinga wenzao, aseh jana nilichamba yale matusi mpaka nikawa najiuliza ni mimi au, hahahah hapana chezeya jeshi la mtu mmoja
 
Ni director wa muviii aliyokua amevaa gauni la harusi wema...badala ya kutangaza muvii kaibadili location iwe yake sasa Director ameona nadhani kaenda mpaka kudanganya kwenye redio ndio kaamua kusema ukweli....kasema hapendi uongo

Nimeona umeshatagiwa kwenye picha zake insta...nenda anajibu na maswali....chezea kazi na udaku na vigodoroooooo...lol AIBU

Jana nilichamba wewe, niligeuka team director, khaaa nilitoa dozi ya maana, yani hawa team wema dawa yao nishaijua, wakiingia kwenye kumi na nane zangu nitawafuraisha, maana kule hamna ban
 
AHahah jana nilitembeza dozi ya maana mxiuuu wanawaonea hao hao wajinga wenzao, aseh jana nilichamba yale matusi mpaka nikawa najiuliza ni mimi au, hahahah hapana chezeya jeshi la mtu mmoja

Weee binam we ni noma yaan nkasem nkikoment unaez kunip na mm doz maan ilikua hatareeee
 
Back
Top Bottom