Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
anaacha afu anaweweseka mwenyewewemasepetu siyo wa kuachwa yeye ndo anaacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anaacha afu anaweweseka mwenyewewemasepetu siyo wa kuachwa yeye ndo anaacha
dua la kuku....hivi mlitaka dai akiachana asiwe na mpenzi​watu wanamsifia diamond but huyo jamaa kua na huyo mama amebugi big time...,,kwa kifupi amelost na imekula kwake just wait and see...huyo bwa mdogo hakutakiwa kuuvaa huo mkenge wa kiganda..time will tell.
wema akaolewe na MR BLUE aunTID munyamaUmeonaee yaani wao wanamuona zari kama bikra.....waulize waganda na nigeria zari ni nani halafu ndio wamlinganishe na madame wetu.Wema yuko juu
sa ulitaka nae ashike mic aimbe???ha ha ha mjamzito huyo atakiwa kupumzika ujue ila hapo kamsindikiza baby.wake studioZari kalala huku watumwa wakichakarika hahahahha, mondo utajuta kuwafaham waganda
bora bwawa lina samaki watatu na wanne yupo njiani hurrreeeiii....wema?simaliziiiPoint...... sio pipa tuu ni bwawaa...
timua na baruti huyo pwanya road ha ha haEhh umekunywa bia gani leo, ebu naomba ufute kwanza utumbo wako ukaandikie uko kwa boss wako mama ubaya au dogie masta ,apa hatutaki upuuzi na utumbo wenu mxiuuu!! Mama ubaya my foot, pelekeni uko maukimwi yenu nfyuu, kamfungulieni thread yenu uko muongee maushuzi yenu
af zari nae muchokozzz ha ha ha alipost picha na baba kijacho akaandika "bae who texted us" ha ha ha alimaanisha text ya mama swiss
bora bwawa lina samaki watatu na wanne yupo njiani hurrreeeiii....wema?simaliziii
mi mzima shoga hujambo shabiki andazi ha ha haYaan Evelyn Salt wew sipati picha utoto wako ulikuwaje yaaaannnnnn manaa ni tabuuuVip lakin mzima?
avae apige picha akalaleHaaaaaahaaaa umeon eeeeh ka nyoka vile ata akiog mjin haend
ha ha ha zari kiboko wallah kina kajala walikua wanasemwa full kuwapa vidonge kwenye my shuzi....ha ha ha kwa zari hajawahi kuthubutuHahahaa nimependa hiiii zari nyokooooo
mi mzima shoga hujambo shabiki andazi ha ha ha
ha ha ha kumbe team pwanya road mnalipwa bila shaka haizidi buku tatu....mwayego mi silipwi make sina team labda niende lumumba nkawatetee CCMHahahaaahaa nani shabiki andazi.....mwenzio nalipwa na madam hahahahaaaa....vipi wew zari anakujua????
ha ha ha kumbe team pwanya road mnalipwa bila shaka haizidi buku tatu....mwayego mi silipwi make sina team labda niende lumumba nkawatetee CCM
Haya oneni watu wanataka haribia kazi wengine, badala ya kutangaza filamu wanadai ni ndoa yao....
Kweli wizi mtupu huo
Inasikitisha sana kisa Diamond na Zari. Ndio mwanamke udakie kazi za watu kuita harusiii...mkome kumuitia kazi hana soko tafuteni wasanii wapya muwapaishe sasa...