​watu wanamsifia diamond but huyo jamaa kua na huyo mama amebugi big time...,,kwa kifupi amelost na imekula kwake just wait and see...huyo bwa mdogo hakutakiwa kuuvaa huo mkenge wa kiganda..time will tell.
Kuna mtu kaandika kaka meneja kasafiri hakuwepo....eti advert ya dawa ya meno...eti bi harusi gani aachi pete za kila siku je ni kawaida kutozivua kweli ya ndoa ing'ae?...kumekucha...bora arushe picha zote kama zipo kweli...Z anachemsha mtu hivi duh
​Sasa kama wema kopo na huyo shemeji yetu zari si atakua debe kabisa au pipa ..nyani haoni kundule!!
Wanaongea sana bila kufanya uchunguzi,madam ndiye alimuacha domowemasepetu siyo wa kuachwa yeye ndo anaacha
Piga kazi wema sepetu majungu waachie wengine
Hiyo ndoa kila siku inayoongelewa sijui ndoa gani isiyofungwa.
Na tusubiri bwana labda yatakuwemo.
Ni movie hiyo..yupo na JB
Makubwa haya! Kwahiyo hata hii ndoa inayotangazwa sasa ni movie pia?
Unazan ataolew sas anajishaua tu
Mhhhhh ngoja tuone bwana.
Makubwa haya! Kwahiyo hata hii ndoa inayotangazwa sasa ni movie pia?
Huyo mme ategemee movie ktk maisha.
Bila kusahau misosi zote kuzikuta Blobal Publishers.
Yaani muoaji aka mume mtarajiwa hajawekwa wazi... Sasa huyu anaoa au anaolewa
Ni kweli ila hayakuhusu
Kwa nn mme yaleta hapa? Mbona anavyodungwa huwa tunafahamu au ww ndie huwa una mnyanyulia?
Sasa hivi hizo misosi za zari na domo ni wema ndo anazipeleka Global publishers na mitandaoni????au domo ndo anapenda kujiweka huko ??chezea kukulia tandale wewe unaona the world is yours!!!siku atakapo angukia pua ndio atashika adabu yake.Huyo mme ategemee movie ktk maisha.
Bila kusahau misosi zote kuzikuta Blobal Publishers.