Ndoa ya Wema Sepetu yazua gumzo mjini

Aaaha jana mashetani yalinipanda kidogo


Yaan huyu bidada angejituliza tu.... asa mara kaolewa mara cjui van vicker, full kijichoresha 2...hamuon mwenzake alivyotulia (zari)!!
 
Hii ni kazi....buku kwa kila post ya kumtetea kwa siku namtetea mara zaidi ya ishirin ni twent thousand.... heheheeeee ngoja niendeleee na kibarua changu shooo......
acha uongo pwanya road ha ha ha nanyie waongo kama boss wenu et ana nyumba ya m400 pyeeeeee buku per post kwa hela ipi labda angekua bado yupo kwenye himaya ya babu clement ga ha ha
 
ha ha ha yan nmecheka hiyo picha director kavurugwa
 
mimi mpaka sasahivi msanii ninayejua alishawahi kufunga mdo ni irene uwoya, hao wengine ninawaona tu na mashela, sasa sijui wanacheza movie au vipi
 
ha ha ha yan nmecheka hiyo picha director kavurugwa

Yaani kavurugwa haswa, sasa wanamtukana utazani huyo w hataki kula..wadau wake anaowasifia wanatukana sana uwiiiii. akiendelea nao ila kuwakemea atazidi kushaka hadhi labda kupanda kwenye vigodoroooo tu....na alirusha jana usiku kashindwa kulala full kusikiliza love songs sasa mtu aliyeolewa na kudanganya wananchi kuwa kaolewa kisa wivu ....mbavu zangu atulie tu kimya
 
Jana nilichamba wewe, niligeuka team director, khaaa nilitoa dozi ya maana, yani hawa team wema dawa yao nishaijua, wakiingia kwenye kumi na nane zangu nitawafuraisha, maana kule hamna ban

Yaani nilikusoma nikabaki mdomo wazi sikujua unawawezea duh....nina mpango wa kwenda kusoma nami nijifunze maneno...Warumi weye wee umewamaliza....now wanasema ugonjwa wa ngozi ili watu wakimie party...kama vile wamekatazwa kufanya zao....
 
nitag bas nkaone nakupm id
 
acha uongo pwanya road ha ha ha nanyie waongo kama boss wenu et ana nyumba ya m400 pyeeeeee buku per post kwa hela ipi labda angekua bado yupo kwenye himaya ya babu clement ga ha ha

Yaan wew ni kambea ..khe khe kheeeeeee
 
acha uongo pwanya road ha ha ha nanyie waongo kama boss wenu et ana nyumba ya m400 pyeeeeee buku per post kwa hela ipi labda angekua bado yupo kwenye himaya ya babu clement ga ha ha

Nyie si ndio mnaowaambiaga wanalipwa?
Eeeh jibu ndo hilo sasa!
 
Director kasema....

Huyo director nae walewale tu kina ndala ndefu mdomo mrefu chuchunge kasingiziwa!

Kama mtu kaamua kujipa maflag whatsoever kwa sababu zake mwenyewe anazozijua (just assuming the issue is a lie) kwaivo ye inamhusu nini?
Wangapi wanaojisingiziaga/kusingiziwa tukio be it a scandal ama la kheiri na watu wanamute?
Ye kimemuuma nini? Na angepiga kimya angepungukiwa nini labda?

To hell with him angeacha watu waongee till watapojua ukweli ni upi!
 

kwa hiyo tuseme director amwite msanii kufanya kazi...badala ya hilo anachukua kazi yake na kudanganya ni ya harusi yake...kwli sasa why aibe na asiende dukani kununua nguo ya harusi basi ajipige arushe? why subiri za kazi?

mbona alipokuwa Ghana alikuwa ana promote akiwa location,,,sasa hiii kwanini hapana na anaibia.

hakuna mwenye kufanya kazi kwa bdii atanyamazia muviiii yake itangazwe pasipo. alifanya vizuri...ndio ikomewe tabia ya kuigiza uongo kimaisha
 
nitag bas nkaone nakupm id

poa ila now kazitoa naona message sent na kazi kuendelea.

duh kaumbuka mpaka mbwa wake anabwatwa hadi leo...amepata ugonjwa wa ucrazy....w kwa video wanamrusha macho yamevimba..chumbani na michirizi wenzake aibu mume kaachwa kwenye vigodorooooo...lol...yaani duh
 

Unajua maana ya director? Unajua angeathriwa vp na kazi yake? Yeye kama director ana haki zote za msingi kuongea anachotaka kwenye project inayomhusu, kwa hyo na wewe unafurahi alivyodanganya? Ili iweje sasa? Acheni ushabiki mavi
 

Ndio maana nimemuuliza anajua maana ya director? Maana anaona anajiongelea tu anasahau kuwa hiyo kazi ni ya watu, watu wengine hawatakag kabisa kuambiwa kweli kisa wema mxiuuuu yani mijitu na midude yao inadanganywa ovyo mi hapana kwa kweli mxiuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…