Ndoa ya Wema Sepetu yazua gumzo mjini


Duh wanaume tuna kazi aisee yaani wema kweli?
Inahitaji uvumilivu maana kila kitu kwenye mwili wa wema kimesha deteriorate kuanzia papuchi etc.
Mcharuko kuanzia yeye mwenyewe hadi mama yake

heheheh....mkuu, hivi Wema anaweza kuwa jiko? kweli
 
MMh!! Namuonea huruma tu huyo husband wake maana mama ubaya anavyopenda maisha mazuri na kula bata mmh!! ,halafu nasikia ni katoto tu kana pesa chafu za urithi wa baba ake sijui kweli au umbea tu, ebu tusubir

Sio yule handsome nasikiaga jina lake limenitoka kidogo labda Dinazarde anamjua.
 
Last edited by a moderator:
hahahaha..anaweza kuwa mke mwema watu washangae.

Umeona eeh? Akipata anachokitaka kwanini asitulie?
Japo ni vigumu kuamini katika hili hasa kwa mwanamke aliyeshindikana kama wema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…