familia anayo tayari kadinda, petit man, swiss na vanny
My wiii ikiwa dubai ticket nakutegemea
AHahahah hapana chezea alshabaab ya jamii forum
Bwana mimi simkumbuki vizuri sijui anaitwa Kesi hata sielewi...
Nani yule mweupe au??nimemsahau jina yaillah
najua wapi/........ Nimeibiwa ka mchina kangu
insta sijaingia nina mudaje
Familia yake si akina martin kadinda na dany mtoto wa mama? Familia ipi unayoizungumzia
Haya mimi kwangu haramu kwako wewe jirani kihalalishe mwenyewe sijakukataza wala kukupangia cha kufanya.
Nchi huru hii kila mtu afanye atakavyo.
Kwako wewe tu,kuna mwingine zaidi yako kwani?
Loh!! Unapitwaje sasa? Na soon nafungua account yangu insta, naizindua ijumaa, ni shidaaaaa full umbea umo, jitahid usikose binamu wangu wa ukwee
Haya bibie na uolewe sasa japo uilinde heshima yako kidogo iliyobakia maana kama mpapa umejua kuugawa.
Hapo sawa maana kwangu ni kawaida dem hawezi gawa kwingine akinipa mimi
Nani aoe huyu last weekend kauza mbunye kwa lile babu lenye katalunya plaza..siku mbili anatoa 0713 na kupewa laki 8 ..kuna mke hapo au ----- huu
Kesi yupi hyo? Yukoje? Kama namjua... ila wema marafiki zake wa kiume asilimia 98 ni mashoga