Ndoa yampausha Shamsa, aijutia!

Ndoa yampausha Shamsa, aijutia!

Haloooooooo!!! Mi mbea jamani!!

Ok iko hivi, dada yetu Shamsa ndoa imekua ndoano atelekezwa na Chidi Mapenzi. Inasemekana baada ya harusi tu Chidi akajiendea zake China kwa kisingizio cha biashara ila sio hivyo! Inasemekana ana mwanamke huko na hilo jimama ndo linamuweka Chidi mjini na Shamsa analijua hili.

Umbea umeenda mbali mpaka kufikia kwamba Shamsa alilazimisha ndoa na hana raha kabisa na ndoa yake hata uso wake umepoteza nuru na kwa mitazamo ya watu wanadai kapauka haswaaa.

Pia inasemekana post ya shoga ake Zamaradi lilikua ni dongo lake, haya karibuni tujazilishie yetu!
Jamani tuacheni umbea....tuafanyeni yetu
 
Caption za Shamsa kila akijiselfie Insta ni" nakupenda Mme wangu"

" Mme wangu Leo utakula nini, najua unapenda mlenda"

Mara

" Mme wangu najisikia kulia Leo "
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani!!

mmmhh!Ila km kweli namuonea huruma ht miezi mi3 badoo
 
Unga alioshikwa nao pale kunduchi, alisaidiwa na yule mama wa NGO (hawala) kesi ikaisha wale askari wakalamba mpunga, anapenda MIJIMAMA
 
Acheni Umbea, hakuna ndoa ya vijana wa Leo ikakosa Mushkheri..! Kila ndoa ina vitimbi vyake, alafu siamini kama kuna mwanaume karne hii anaweza kulazimishwa kufunga ndoa, hayo ni maneno tu ya wachafuzi
 
Back
Top Bottom