Ndoa yangu changa inataka kuniua

anajenga kwa siri, shtuka kabla hujazikwa ukiwa hai.
 
Nimeogopa sana uliposema ameiba sadaka ambayo tayari mmeiombea,huyo mwanamke hamuhofii Mungu hivyo wewe ndo hawezi kushtuka hata mshipa wa ziwa.

Hiyo ni tabia mbaya sana,jaribu kukaa kumueleza wazi wazi usiishie kuficha vitu,yani ongea nae ukimpa warning mkuu,ataleta laana kwenye uzao wako.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Kuna wengine anakuja getto unampikia akila vyombo anaacha havitoe wala kuviosha,anajirusha tu kwenye sofa kuendelea kuangalia muvi,takataka za namna hii mimi nazipotozeaga hapohapo.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Mnunulie mihogo amekumbuka mihogo ya chuo
 
Huenda ana deni kubwa anadaiwa embu peleleza ama laah kuna mtu anamshika akili, yaweza kuwa Ke mwenzie ama Mwanaume.
 
Mkuu hapo hapana mke umeoa jambazi!
Inaonesha pia ni kama na wewe huonyeshi mbele yake kuchukizwa na matendo yake ilihali moyoni unaumia kiasi cha kufikiria kumuua!
Sasa fanya ongea ae kinaga ubgaga, mweleze wazi kuwa umechoshwa a tabia zake na umpe msimamo wako!
Akideviate mpige chini, endelea na maisha yako wewe sio wa kwanza kuoa na kuacha mke!
Hebu jiulize mpaka hapo mke wa type hiyo ana faida gani kwako?
Siku ukipata safari ya mbali unawezakuta alishauza hadi nyumba!
Huyo ni nyani ukiendelea kucheka nae utavuna mabua!
 
Mkuu hapo hapana mke umeoa jambazi!
Inaonesha pia ni kama na wewe huonyeshi mbele yake kuchukizwa na matendo yake ilihali moyoni unaumia kiasi cha kufikiria kumuua!
Sasa fanya ongea ae kinaga ubgaga, mweleze wazi kuwa umechoshwa a tabia zake na umpe msimamo wako!
Akideviate mpige chini, endelea na maisha yako wewe sio wa kwanza kuoa na kuacha mke!
Hebu jiulize mpaka hapo mke wa type hiyo ana faida gani kwako?
Siku ukipata safari ya mbali unawezakuta alishauza hadi nyumba!
Huyo ni nyani ukiendelea kucheka nae utavuna mabua!
 
CHA AJABU WAKATI UNAFUNGA NAE NDOA HAPO KANISANI ROHO YA UFUNUO HAIKUFUNUA KUWA UNAOA MWIZI!NA PADRI NA MCHUNGAJI WAKABARIKI NDOA YA MWIZI BILA ROHO KUFICHUA!!!!MAANA YAKE NI KUWA ROHO WA MUNGU HAYUPO KWENYE KANISA ULIOFUNGIA NDOA!!!
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna wengine anakuja getto unampikia akila vyombo anaacha havitoe wala kuviosha,anajirusha tu kwenye sofa kuendelea kuangalia muvi,takataka za namna hii mimi nazipotozeaga hapohapo.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Wa hivyo unatakiwa uwaweke kando utawahitaji ukizidiwa maana hawatumii akili. Jana nilitoka na girl mmoja mpaka nikaona experience ya girl anayejielewa akakupenda na wazushi. Yani tofauti na dhamiri tunaziona ila sisi tunajitia ugumu wa kuchagua
 
Hii ndiyo raha ya JF.

Anauzwa alafu bei ya kutupa. Auzwe na viatu? Mpaka afike hapo hana tena viatu.

Yamebakia malapa ya uani. Ndiyo mkuu akimbie nazo.

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]apana mkuu jaman
Najua lazma atamuomba na kafigo kamoja akauze ndo umuache na hizo ndala et
 
Kuacha uwiz huyo kunaitaji kaz kubwa mno na sijui kama utaweza maana inaonekana kiasili kabsa n mwiz yan ndo asili yake kitu ipo damuni na hata ukifatilia kwao utaikuta hyo tabia
 
Visichana vya chuo hupenda wanaume wenye magari, pia ukumbuke kuvipatia pesa mara kwa mara utadumu nae.

Kwa taarifa yako hicho kisichana kilifukuzwa chuo kwa kosa la wizi. Ulizia vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…