Ndoa yangu changa inataka kuniua

Ndoa yangu changa inataka kuniua

Mmh au ni hiyo mimba imekuja na style hiyo?!

Tabia ya udokozi ni changamoto aise
 
Kusema ukweli kwa sasa sina uhakika alinipendea nini, nilifikiri ni vile ninavyomjali lakini sina uhakika.
Mtoto ameshazaliwa kwa kweli siwezimkataa.
Hilo wazo nililipata baada ya kutoona kasoro kwake na pia ili nimuwezeshe amalize shule bila stress
Inawezekana hakupendi ila yupo na wewe umtimizie mahitaj9 yake kama hayo ya kumsaidia amalize chuo, kulea mtoto n.k

Inawezekana ana akili ndogo anaendeshwa na mtu wa nje huko anayempenda kuliko wewe .. anamuhonga pesa au ana muhudumia anaiba hela kufanyia nini??
Akikamilisha mission zake atakuacha kwenye mataa joandae kisaikolojia
 
Kamata mwizi[emoji16]
Mtoto wa kike kuwa mdokozi ni sifa mbaya sana[emoji41],

Hata kama uwe pisi kali kuzidi makali ya kisu cha ngariba,

Utasikia,,,,,,,,yule dada mzuri lakini mwizi[emoji23]
 
Jamani mkuu ndo kuiba.
Labda nyumban kwao wanashida sanaa na yeye ana tegemewa nyumbani kwao
Ye ndo wa kwanza kutegemewa...
Ila sawa tu acha limkute mkuu hapa. Mambo ya kuangalia shindu, msambwax ...ndo hayo. Pisi kali mikono mirefu....

Kila mtu hupata anachostahili. Dont ever marry for the wrong reason. Ila miaka nenda rudi mambo ya ndoa husemwa humu ila hatujifunzi tooo sad...

He deserves it probably....
 
Mi naona ana tabia za kawaida tu za kitoto zinarekebishika kabisa
 
Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.

Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.

Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa

2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.

Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).

3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.

4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.

Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.

Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Mmeshaambiwa msioe ila HAMSIKII.
Mwana kulitaka = mwana kulipata.

MSIOEE Acheni UBISHI.

#YNWA
 
Pole mkuu ingawa wanasema utapewa wa kufanana naye ,Hebu jichunguze una kasoro zipi zinazorekebishika ndio ukae mdadavue kabla ujamuacha mlimbwende msomi.
 
Embu fuatilia historia ya kwao ipoje, tabia za mama yake/mlezi wake itakupa mwanga wa wapi pa kuanzia.
 
Jamani mkuu ndo kuiba.

Ye ndo wa kwanza kutegemewa...
Ila sawa tu acha limkute mkuu hapa. Mambo ya kuangalia shindu, msambwax ...ndo hayo. Pisi kali mikono mirefu....

Kila mtu hupata anachostahili. Dont ever marry for the wrong reason. Ila miaka nenda rudi mambo ya ndoa husemwa humu ila hatujifunzi tooo sad...

He deserves it probably....
Kumbe!!!!

Basi vumilia tu,hakuna namna.
 
Nahisi anamahitaji makubwa ya hela ila bado sijui anafanyia nini maana kuna mwezi nilimpa nusu ya mapato yangu kwa ajili ya kuendesha shughuli zote za nyumbani kwa huo mwezi lakini nililipa mwenyewe bili zote za huo mwezi kwa nusu mwengine
Nyumbani kwao Wana uchumi wakati au wa chini?? Maana mpaka ulihamua kumuoa lazima utakuwa Una ya jua maisha ya familia Yao.
 
Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.

Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.

Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa

2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.

Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).

3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.

4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.

Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.

Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Bwaga zigo mkuu

usipoangalia utalea familia ya mapanja

wengine wana laana za urithi
 
Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.

Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.

Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa

2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.

Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).

3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.

4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.

Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.

Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Umeona sound system yenye asili ya ukibaka,huna mke hapo unakibaka mzoefu
 
Back
Top Bottom