SOUND SYSTEM
Member
- Aug 31, 2021
- 39
- 59
- Thread starter
- #61
Sasa hivi kusema ukweli umejaa hasira. na pia hofu ya yeye kumrithisha mtoto hizi tabia.Unampenda? Moyo wako unasemaje juu yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi kusema ukweli umejaa hasira. na pia hofu ya yeye kumrithisha mtoto hizi tabia.Unampenda? Moyo wako unasemaje juu yake?
Sasa kwa mtu wa aina hiyo utafanya maendeleo gani kwenye hii dunia..jiulize mwenyewe halafu ujijibu.Wahesimiwa wa mmu, ndoa yangu ya mwaka mmoja inakaribia kuniua, ushauri wenu muhimu sana.
Huyu mwanamke nimejuana naye miaka miwili kabla sijaamua kumuoa, ingawa pia maamuzi ya kumuoa yaliharakishwa na kumpatia ujauzito akiwa mwaka wa pili chuo.
Matatizo sasa yanaanzia hapa:
1. Baada ya kumuoa katikati ya mwaka jana akiwa anakaribia kurudi chuo, aliamua kujifukuzisha chuo kimya kimya kwa kutoingia darasani. Ni mpaka mwaka huu mwanzoni ndo nilipojua ukweli, nikamsaheme nikifikiri ni mimba iliyomfanyia hivyo na nikamsaidia kuchaguliwa kwenye chaguzi za juzi hapa
2. Alianza tabia ya kuiba hela nazo rudi nazo nyumbani, hapa nikafikiri ni mdada wa kazi baada ya kumtimua lakini tabia ikaendelea. Hapa ilinilazimu niwe naficha hela kwenye gari.
Si akaja kugundua akaanza kuzifuata huko huko kwenye gari, sasa hapa nikawa nazificha sehemu ambazo asiye fundi hawezi zifikia. Hapa kunaujinga mwingi sana umefanyika mpaka ikafika yeye kukata hela ya chakula.
(Anabana hela ya chakula, chakula kina kata katikati ya wiki).
3. Wizi wa hela ya sadaka, hapa niliandaa hela ya sadaka ya shukrani, nikaiweka kwenye bahasha na tukaiombea, nikafunga bahasha na gundi. Kesho yake asubuhi tunaenda kanisani nikagundua bahasha ilifunguliwa na nusu ya hela imepigwa.
4. Kuna vitu vimeanza kutoweka nyumbani, begi kubwa la nguo, set za mapazia niliyonunua kwa bei kubwa, simu yangu ya ofisini (Naitumia mara chache, kwa shughuli za ofisi) na godoro dogo la chumba cha wageni. Nilivyoongea naye jana kuna kila ishara kuwa ameviuza.
Dah naombeni ushauri maana najiona kabisa kwenda kuua mtoto wa watu, maana sioni kitu anachokifanya na hizo hela zaidi ya nyumba kujaa makopo ya juice na soda.
Na hata hivyo ameanza uvivu, usafi kwake ni changamoto saa nyingine naogopa kwenda jikoni.
Nakushukuru, Hili swali ni kweli sikuwahi kumuulizaKaa nae chini umuulize anakosa nini mpaka anafanya hivyo
Fanya hivyo mkuu utaleta mrejeshoNakushukuru, Hili swali ni kweli sikuwahi kumuuliza
Mkuu kusema ukweli ukiachana na ukweli kuongezeka kwa majukumu kumenisaidia kuongeza jitihada za utafutaji na kuweza kuongeza kipato changu mara mbili zaidi ya kabla ya ndoa. lakini pia gharama na stress za kununua vitu ambavyo sikupaswa kununua tena kunanirudisha nyuma na kunanipa hofu ya kuendeleza hali ya nyumbani.Sasa kwa mtu wa aina hiyo utafanya maendeleo gani kwenye hii dunia..jiulize mwenyewe halafu ujijibu.
Huyo ndo mtu wa kuanzisha nae familia?
Umesema umemuoa akiwa chuo probably bado ana umri mdogo sana..ana mambo ya kitoto na akili hazijakomaa.Mkuu kusema ukweli ukiachana na ukweli kuongezeka kwa majukumu kumenisaidia kuongeza jitihada za utafutaji na kuweza kuongeza kipato changu mara mbili zaidi ya kabla ya ndoa. lakini pia gharama na stress za kununua vitu ambavyo sikupaswa kununua tena kunanirudisha nyuma na kunanipa hofu ya kuendeleza hali ya nyumbani.
Hapa nafanyaje kumuwezesha yeye kuoa maisha hayapo hivyo???Umesema umemuoa akiwa chuo probably bado ana umri mdogo sana..ana mambo ya kitoto na akili hazijakomaa.
Bado ana akili kama za wale mabinti wa chuo,hayupo tayar kuwa mke wala mama.
Pole mkuu
Hapa nafanyaje kumuwezesha yeye kuoa maisha hayapo hivyo???
Maana mbinu zangu zote zimeshindikana
MPE darasa mfululizo.akishindwa mweke kikao pande zote mbili waongee nae awekwe kitimoto.Hapa nafanyaje kumuwezesha yeye kuoa maisha hayapo hivyo???
Maana mbinu zangu zote zimeshindikana
Why umpige tukio, unajenga ama unabomoa, ameomba msamaha msamehe, akirudia piga chiniMkuu kweli nampenda na nimeshampa ukweli wake, anaomba msamaha, wiki chache zifuatazo ni kupiga tukio la kibingwa
Nyongeza.Hapa nafanyaje kumuwezesha yeye kuoa maisha hayapo hivyo???
Maana mbinu zangu zote zimeshindikana
Nilikua na maanisha baada ya kukosea na kuniomba msamaha, huwa tunakaa na wiki 2 au 3 za amani. baada ya hapo atafanya tena tukio la design hiiWhy umpige tukio, unajenga ama unabomoa, ameomba msamaha msamehe, akirudia piga chini
Kusema ukweli hii inaonekana ndo suluhisho, ila tatizo nafsi yangu haitaki kabisa kusikia habari hizoKwa wakongwe sisi moja ya mbinu za medani ni kumpandisha cheo awe Bi Mkubwa!
Hapo atasaidiana na Bi Mdogo kufanya mipango mahsusi ya maisha.
issue hapa tuna-comment based on one side...kujua upande wa pili ndio diliNyongeza.
Usimshirikishe mambo yako ya kifedha.maana tabia yake ndo hivo.
Kuwa msiri,jifanye uko broke,usishee kadi ya ATM ama namba za mpeaa nk.mpaka atapobadilika labda.
pole sana MkuuKusema ukweli hii inaonekana ndo suluhisho, ila tatizo nafsi yangu haitaki kabisa kusikia habari hizo
Nakushukuru kwa ushauri wako, nilikua naogopa kufika hii hatua. Ila nahisi ni bora niifike sasa hiviMPE darasa mfululizo.akishindwa mweke kikao pande zote mbili waongee nae awekwe kitimoto.
Mengine yatayofuata akigoma kubadilika Utajua wewe mkuu
Kwamba jamaa labda hamajali mkewe?issue hapa tuna-comment based on one side...kujua upande wa pili ndio dili
Piga chiniNilikua na maanisha baada ya kukosea na kuniomba msamaha, huwa tunakaa na wiki 2 au 3 za amani. baada ya hapo atafanya tena tukio la design hii