SOUND SYSTEM
Member
- Aug 31, 2021
- 39
- 59
- Thread starter
- #41
🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣
Ni sahihi maana kwa mwaka huu amenenepa vya kutosha na pia mpaka sasa ameshamaliza bima ya hospitaliniAnatafuta ugonjwa wa kisukari kwa bidii kubwa sana.
Hatari sana mkuu, unaweza ukaamka asubuhi upo kusikojulikana[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nilikua sina raha ila kwa hii comment yako nimecheka sana mkuu
Sipati picha mkuu akiuzwa[emoji38][emoji38]yeye na viatu vyake
Kleptomaniac ndo mtu wa design gani??Anaweza kuwa Kleptomaniac.
Nahisi anamahitaji makubwa ya hela ila bado sijui anafanyia nini maana kuna mwezi nilimpa nusu ya mapato yangu kwa ajili ya kuendesha shughuli zote za nyumbani kwa huo mwezi lakini nililipa mwenyewe bili zote za huo mwezi kwa nusu mwengineUnadhan chanzo n nn??
Dah mbona ni kama vile mmeshaanza kupanga bei ya mimi kuuzwa???Hii ndiyo raha ya JF.
Anauzwa alafu bei ya kutupa. Auzwe na viatu? Mpaka afike hapo hana tena viatu.
Yamebakia malapa ya uani. Ndiyo mkuu akimbie nazo.
Inawezekana, ila sidhani maana kusiku alinipiga kwa design hiyo, baada ya kumpigia mdogo wake simu alikanushaLabda nyumban kwao wanashida sanaa na yeye ana tegemewa nyumbani kwao
Mtoto moja wa mwaka na miezi michacheUna watoto naye?
Mazuri yake ni yapi mkuu.
Ni dhahiri maamuzi ya kumuoa uliyafanya kwa hisia.
Pia naomba kabila lake.
Unamwaga mchele kwenye kuku wengiMzee unaficha hela kwemye aircleaner au bowglass
Mkuu kweli nampenda na nimeshampa ukweli wake, anaomba msamaha, wiki chache zifuatazo ni kupiga tukio la kibingwaMzee umeoa mabaki ya panya road.. Chukua twende, kama bado unampenda muweke chini umpe ukweli.
Nakushukuru mkuu kwa ushauri wakoHakuna mke hapo
Miss Natafuta hebu funguka kidogo, kichwa changu kimekua kizito sababu ya stressAhaaaa acheni utoto
Unampenda? Moyo wako unasemaje juu yake?Miss Natafuta hebu funguka kidogo, kichwa changu kimekua kizito sababu ya stress
Mkuu nafikiri umenipa mwangaza wa kitu ambacho sikukifikiria. kuna muda nakafikiri ni heri ningemuoa baada ya kumaliza chuo. Tungeishia tu kwenye familia kujuanaMoja ya tatizo kubwa sana kwenye vichwa vya wanawake wasiojitambua ni kujiaminisha kwamba baada ya kuolewa wanakuwa wamepata mkataba wa kudumu wa kufanya wanavyotaka wao ndani ya ndoa, matokeo yake wanaishia kuachwa bila mpangilio.
Ndoa ni kukubali kuachana na ujana na mambo yote ya kijinga
Mkuu mpaka mimi kuandika hapa ujue maombi nimeshafanya sana. labla niendelee tena.Duh, huyo ana roho mchafu wa wizi, kama unampenda muombee na umpe onyo, akiendelea fukuza mbali, atakuja kukuaibisha
Kaa nae chini umuulize anakosa nini mpaka anafanya hivyoMkuu hapa ndo sielewi na haya mabadiliko ya tabia ni baada ya ndoa. Kabla ya hapo alikua mtoto mzuri tu